Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,898
- 4,156
Wasukuma ili jiji la mchakamchaka sio mwanza hiiMimi binafsi naanza na dar es salaam ...
awa watu ujifanya wajanja sana but ki reality ni washamba sana kila kitu wana vunga wanajua ....[emoji41]bila kujua si wa mikoani uwa tuna wakaushia
Sasa ni iviii ujanja wenu unapo ishia ndio sisi unapo anzia
ROCK CITY BOY[emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 929294
Watu wa Tarime nao kwa biti [emoji41]Ole wake mtu ataje kabila langu nawaambia atapata tabu sana
Haha walaaaWatu wa Tarime nao kwa biti [emoji41]
Bora hii kuliko hii ya et mkoa wenye washamba!!!so what?
Jina lako tu lina onesha we ni kizee cha zamqni ..tuachie vijana kama uja elewa[emoji91][emoji91][emoji91]Mkoa.... Ushamba dunia nzima
None sense, kwako dunia ina mikoa mingapi
bora kuwa jiji la kishamba kuliko jiji la mashoga
Wasukusu!! Ooh Yeah!Wasukusu ni mzigo!
Hahah aisee