Mkoa gani unaoongoza kwa Warembo Tz?..

Sumbawanga ni kwetu,kiukweli hakuna warembo.. usije ukawaacha watu wakaamini kua kuna warembo,sehemu zenye warembo ni mikoa ya kaskazini mfano:Arusha,Manyara na katikati ya nchi kama Singida.
we tutake radhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…