Bila kupepesa macho,ARUSHA na KILIMANJARO wako njema sana ila HAWAJUI MAPENZI VIUNO VIGUUUUUUMU
pole...Kweli mkuu kunajamaa kaniwahi
Mbeya napingaKilimanjaro arusha na mbeya
we tutake radhiSumbawanga ni kwetu,kiukweli hakuna warembo.. usije ukawaacha watu wakaamini kua kuna warembo,sehemu zenye warembo ni mikoa ya kaskazini mfano:Arusha,Manyara na katikati ya nchi kama Singida.
Ngoja ajemimi ndiye josevarest wa hi thread
lolBila kupepesa macho,ARUSHA na KILIMANJARO wako njema sana ila HAWAJUI MAPENZI VIUNO VIGUUUUUUMU
You Can't be Serious.Tarime