Mkoa Songwe bila connection hutoboi

Mkoa Songwe bila connection hutoboi

Teleza1

Senior Member
Joined
May 16, 2020
Posts
190
Reaction score
198
Kila kitu ni connection, ni mkoa ambao jiographia yake ipo kinyume sana na mkoa tukutu sina hakika vipaumbele vyake nini? Mfano kuna mtu anaitwa kaponda amejaza mademu zake kuwa kuwa wakuuu wa shule na maafisa taaaluma. Kuna jamaaa mmoja anaitwa kafulila alikuja kufanya kazi mkoaaa huuu kama katibu tawala akawatoa watumishi fulani walikuwa NGO fulani kisha akajaza watu wake, mfano wa kweli sasa hivi wamepata kafungu fulani halmashahuri yuko anawaahamisha wakuu wa shule za msingi kisa tuuu kuna hela, hizo pesa zingepelekwa sehemu yenye uhitaji pesa hizo zikatumika. Kuna majaamaaa wana ukimwi wanausambaza vibaya kwa wafanyakazi wanaoitaji vyeo.mfano mfanyakazi jina X wa wilaya songwe tayari bilameshaambukizwa vvu na wiki tatu zilizopita alikuwa azikwe.
Upande wa afya ndo usiseme bila kugawa nyapu mambo hayaendi. Watu waaache nepotism kuwanyanyasa wengine. pia mkuuu wa mkoa nadhani hajui anachosimamia
 
Songwe wapi mzee mbona tunduma mjini tunapiga hela za wazambia tu mzee tena kilaisi kabisa.
 
Kila kitu ni connection, ni mkoa ambao jiographia yake ipo kinyume sana na mkoa tukutu sina hakika vipaumbele vyake nini? Mfano kuna mtu anaitwa kaponda amejaza mademu zake kuwa kuwa wakuuu wa shule na maafisa taaaluma. Kuna jamaaa mmoja anaitwa kafulila alikuja kufanya kazi mkoaaa huuu kama katibu tawala akawatoa watumishi fulani walikuwa NGO fulani kisha akajaza watu wake, mfano wa kweli sasa hivi wamepata kafungu fulani halmashahuri yuko anawaahamisha wakuu wa shule za msingi kisa tuuu kuna hela, hizo pesa zingepelekwa sehemu yenye uhitaji pesa hizo zikatumika. Kuna majaamaaa wana ukimwi wanausambaza vibaya kwa wafanyakazi wanaoitaji vyeo.mfano mfanyakazi jina X wa wilaya songwe tayari bilameshaambukizwa vvu na wiki tatu zilizopita alikuwa azikwe.
Upande wa afya ndo usiseme bila kugawa nyapu mambo hayaendi. Watu waaache nepotism kuwanyanyasa wengine. pia mkuuu wa mkoa nadhani hajui anachosimamia
Inawezekana una hoja lakini umeshindwa kuiwasilisha! Huenda wewe ni mtu wa majungu!
 
Songwe wapi mzee mbona tunduma mjini tunapiga hela za wazambia tu mzee tena kilaisi kabisa.

Niko kaloleni nakunywa Wanzuki nikimaliza naenda mwaka kunywa Kangara nachanganya na mndidifu .....[emoji1985]
 
Waulize wenzako wameishiwakukunwa na papuchi zako kugawiwa zawadi ya ukimwi
 
Back
Top Bottom