Mkoa unaweza kujenga Barabara na Wizara isiwe na habari?

mkumbara

Senior Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
146
Reaction score
38
Naombeni msaada kuhusu utendaji kazi wa serikai,

Je Mkoa unaweza kupewa msaada toka nje mfano China, kujenga barabara mpya utakaohusisha ufidiaji kwa wamiliki wa maeneo yatakayopitiwa lakini Wizara husika isiwe na habari?.
 
hakuna hilo ni lazima utakuwa umekubaliwa huo msaada na serikali na wizara husika pamoja na wizara ya mambo ya nje
 
Barabara sita, zitakuwa za aina yake Tanzania, kutoka banana, zitajengwa na wachina, wakati serikali kuu haina habari?!
 
mambo ya chamazi hayoo mkuu! barabara kutoka banana hadi chamazi wakati serikali kuu haina habari? eti mradi wa wachina?

Sawa Kabisa, tena wanasema itakuwa kama walivyojenga TAZARA. Inasemekana Wizara ya ujenzi imeanusha na haiutambui huo mradi. Kaazi kwelikweli!!!!
 
Jordan wanasema anaufahamu, na uvikiuta weshauza eneo lao siku nyingi? Mbunge wa kigambon, faustin hana habari ya mradi.
 
Jordan rugimbana wanasema anaufahamu, na uvikiuta weshauza eneo lao siku nyingi? Mbunge wa kigambon, faustin hana habari

Tapeli anapotaka kukuibia na ukamgundua, atakimbia tu na kutokomea gizani, Sitarajii aje tena aseme ''ilikuwa nikulize bahati yao'' Hivyo ndivyo walivyofanya wao, wako kimyaa wamepotea. This is TZ bwana, sarakasi juu ya sarakasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…