Mkoa wa Kagera unakabiliwa na matatizo makubwa ya viwanja vya michezo

frajomedia

Member
Joined
May 1, 2016
Posts
35
Reaction score
7
Mkoa wa Kagera umefanikiwa kuwa na uwanja mzuri wa mpira wa miguu,lakini unakabiliwa na matatizo ya viwanja vya michezo mingine.Hii inapelekea kufanya vibaya kwenye michezo na wanafunzi kukosa kuonyesha vipaji vyao.

Hayo yamesemwa na Bi Norah,kocha mkuu wa netball mkoani Kagera,unaweza kuona mazungumzo yote kwa kufungua.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…