Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,846
Nchi hii hakuna kinachoshindikana,kwani Mkoa wa Katavi una population ipi ya kuwa mkoa?Kwanza population itatosha ?
hivi ili mkoa uwe mkoa wanajua unahitaji population ya watu wangapi?
Wanapanua tu matumizi baada ya kubana matumizi shame on you........
dhana ya kubana matumizi imesimamia nn hasa...
Afu pia kugawanya mkoa wa Mara ni mkurupuko wa kiwango cha juu.
Namna mkoa wa Mara ulivyo kaa kama si sababu za kisiasa tu haufai kugawanywa.
Kama itakuwa ndivyo Mara kusini itakuwa na viazi vingi kwa swala la uchaguzi.
Kama ni kweli, upande wa north Mara wamechemka. Utegi ipo pembeni mno na hizo wilaya tajwa bora yangekuwa Tarime mjini
Kama ni kweli, upande wa north Mara wamechemka. Utegi ipo pembeni mno na hizo wilaya tajwa bora yangekuwa Tarime mjini
Kuna taarifa ambazo bado ni tetesi kuwa Mkoa wa Mara unategemea kugawanywa na kuwa mikoa miwili, Taarifa zinasema, kutakuwa na Mkoa wa Mara kaskazini na Mara kusini, hali kadhalika, wilaya kadhaa zitaongezeka ili kukidhi mahitaji ya kimkoa.
Taarifa zinadai kuwa, Makao makuu wa Mkoa mpya wa Mara kaskazini yatakuwa UTEGI ambapo kutakuwa na wilaya kama RORYA, SHIRATI, TARIME, SIRALI na Nyamongo, hivo hivo, Mkoa mpya wa Mara kusini utabaki na wilaya zake kama Msoma mjini, Butiama, Serengeti, na wilaya zingine.
Haijafahamika mara moja nia na dhumuni la kuugawa huu mkoa, ila kwa maoni yangu, sioni sababu ya kuugawa huu mkoa.