Mkoa wa Mbeya uwe workshop ya Elimu nchini

Mkoa wa Mbeya uwe workshop ya Elimu nchini

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kwanza kabisa nitoe maana ya title hapo juu. Kuifanya Mbeya kuwa workshop ya elimu ni kama kuufanya mkoa wa Mbeya mfano wa kuigwa au sehemu ya kujifunzia kwa mikoa mingine

Kutokana na kiwango cha Elimu kwa huu mkoa wa Mbeya kuwa juu kila mwaka na kuwa constant kwa ufaulu bila kuyumba yumba tofauti na mikoa Kama ya Kilimanjaro, kagera na baba lao Dar es salaam ambayo kwa kipindi hiki huwa ni ina shuka na kupanda kwa maana haiko constant

Ni muda kwa serikali kuufanya mkoa wa mbeya kuwa WOKSHOP kwa mikoa mingine ili kukuza elimu ya Tanzania.

Mwaka huu topteni 10 ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa, wanafunzi 7 wametoka mbeya .......
Cheki orodha hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Kisha toa maoni yako
IMG-20220115-WA0006.jpg
 
Kwanza kabisa nitoe maana ya title hapo juu. Kuifanya mbeya kuwa workshop ya elimu ni kama kuufanya mkoa wa mbeya mfano wa kuigwa au sehemu ya kujifunzia kwa mikoa mingine

Kutokana na kiwango cha Elimu kwa huu mkoa wa Mbeya kuwa juu kila mwaka na kuwa constant kwa ufaulu bila kuyumba yumba tofauti na mikoa Kama ya Kilimanjaro, kagera na baba lao Dar es salaam ambayo kwa kipindi hiki huwa ni ina shuka na kupanda kwa maana haiko constant

Ni muda kwa serikali kuufanya mkoa wa mbeya kuwa WOKSHOP kwa mikoa mingine ili kukuza elimu ya Tanzania.

Mwaka huu topteni 10 ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa, wanafunzi 7 wametoka mbeya .......
Cheki orodha hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Kisha toa maoni yako
View attachment 2082237
NECTA hutoa ufaulu kimikoa pia na mikoa inayofanya vizuri ni DSm, Arusha, Mwanza Kilimanjaro Iringa na Kagera
 
Kwanza kabisa nitoe maana ya title hapo juu. Kuifanya mbeya kuwa workshop ya elimu ni kama kuufanya mkoa wa mbeya mfano wa kuigwa au sehemu ya kujifunzia kwa mikoa mingine

Kutokana na kiwango cha Elimu kwa huu mkoa wa Mbeya kuwa juu kila mwaka na kuwa constant kwa ufaulu bila kuyumba yumba tofauti na mikoa Kama ya Kilimanjaro, kagera na baba lao Dar es salaam ambayo kwa kipindi hiki huwa ni ina shuka na kupanda kwa maana haiko constant

Ni muda kwa serikali kuufanya mkoa wa mbeya kuwa WOKSHOP kwa mikoa mingine ili kukuza elimu ya Tanzania.

Mwaka huu topteni 10 ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa, wanafunzi 7 wametoka mbeya .......
Cheki orodha hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Kisha toa maoni yako
View attachment 2082237
Title yako nilitegemea iwe SHULE ZA KIKATOLIKI/SEMINARY ziwe WORKSHOP ya Elimu nchini.
 
NECTA hutoa ufaulu kimikoa pia na mikoa inayofanya vizuri ni DSm, Arusha, Mwanza Kilimanjaro Iringa na Kagera
Ufaulu kwa upande wa mikoa huwa sio perfect Sana coz Kuna mikoa yenye shule nying kuliko mingine mfano mbeya, Kilimanjaro......ina shule nying kuliko kagera

So mikoa yenye shule chache hubebwa kuliko mikoa yenye shule nying
 
Title yako nilitegemea iwe SHULE ZA KIKATOLIKI/SEMINARY ziwe WORKSHOP ya Elimu nchini.
[emoji23][emoji23][emoji23]. Umejiongeza mkuu.....

Lkn vp mbna mikoa mingi Kuna shule za kikatolik lakn hazijafanya vizuri Kama hii ya Mbeya?
 
Kwanza kabisa nitoe maana ya title hapo juu. Kuifanya mbeya kuwa workshop ya elimu ni kama kuufanya mkoa wa mbeya mfano wa kuigwa au sehemu ya kujifunzia kwa mikoa mingine

Kutokana na kiwango cha Elimu kwa huu mkoa wa Mbeya kuwa juu kila mwaka na kuwa constant kwa ufaulu bila kuyumba yumba tofauti na mikoa Kama ya Kilimanjaro, kagera na baba lao Dar es salaam ambayo kwa kipindi hiki huwa ni ina shuka na kupanda kwa maana haiko constant

Ni muda kwa serikali kuufanya mkoa wa mbeya kuwa WOKSHOP kwa mikoa mingine ili kukuza elimu ya Tanzania.

Mwaka huu topteni 10 ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa, wanafunzi 7 wametoka mbeya .......
Cheki orodha hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Kisha toa maoni yako
View attachment 2082237
Nashauri lifanyije jaribio fulani, utungwe mtihani hawa vipanga washindanishwe na wanafunzi waliofaulu kawaida kutoka shule nyingine tuone je watafaulu hivyo hivyo?

There is something fishy about the extraordinary performance. Under normal circumstances there should be normal distribution.
 
Mimi Gussie Mkinga wa Makete huko na Mwana CCM imara nimewanyoshea mikono watu wa Mbeya Katika matokeo ya Kidato Cha nne ya mwaka 2021.

Wanafunzi bora wote wanatoka huko kwenye shule iliyopo hapo mjini ya Wakatoliki ya St Francis.

Nafahamu kwa miaka mingi St Francis imewaabisha wanaume wa Tanzania tangu mwaka 1998 kwa kupiga one kali sana.

Hata hivyo siku ya interview yao mwaka 2010 nilimpeleka mtoto wa ndugu yangu aliyemaliza darasa la saba nilikutana na watahiniwa zaidi ya 40,000 waliomaliza darasa la saba lakini shule ilikuwa inahitaji watoto chini ya 150 tu.

Kwa kuwa mimi Gussie ni expert wa mambo ya shule, Nilimwambia mtoto wa ndugu yangu arembe mwandiko sana na atulie asifanye Mtihani kwa haraka haraka ili apate nafasi ya form one hapo na alifanikiwa.

Aligonga Division one ya Point 7 kama kawaida mwaka 2013.

Kama una mtoto smart wa darasa la saba usiogope mpeleke interview ya zaidi ya watu 200,000 huko Mbeya St Francis Halafu apite darasa la watu 100.

Tuache siasa mtoto kilaza hawezi pita.
 
Back
Top Bottom