... taja jina la shule, mwaka, na interview ya kuingia darasa/kidato gani?Siyo kweli. Kuna shule Moja huwa wanachukua wanafunzi 120. Interview yake hiyo nyomi ni hatari wanaofanya mpaka elf 8 plus. Kuna kipindi walifanya interview Kwa vigezo vyao hawakupata wanafunzi 120 hivyo walichukua wanafunzi 90 Tu. Kifupi hawakubali kabisa kuchukua below cut off points zao.
... wasafwa tumebaki watazamaji tu!Ni wangapi wa mkoa huo wanaosoma hiyo shule ?
Marian Girls na Cannossa pia anapata One ya uhakikammmh nje ya St Francis ni ngumu sana
... wakati shule za serikali humchukua mwanafunzi wa F1 mwaka mzima kujua mwalimu "anaongea nini" (tatizo kubwa mno), za private wengi wanaopenya ni kutoka English mediums hivyo lugha sio issue from day one; inasadia kuongeza ufaulu kwani lugha sio kikwazo kwao.Hapa napata picha moja, hizi shule huwa haziamini uwezo wa wanafunzi wanaofaulu kwa mitihani ya serikali kumaliza darasa la saba, hivyo nao huwa na mitihani yao yenye quality waitakayo ili mwanafunzi afaulu ndio wajiridhishe na kiwango chake cha kumpokea form one.
Naona hii ina advantage moja kubwa, kwasababu ukiangalia idadi ya wanafunzi wanaofaulu kwenda form kwa mitihani ya taifa hupungua pale wanapomaliza form four. Hivyo hawa jamaa huangalia ile cream nzuri kwa mitihani yao ya interview ili wawe na uhakika wakifanya mtihani wa form four muda utapofika lazima wafaulu, na ndicho kinachotokea.
Una maanisha hiz div one ni tia maji tia maji?Nashauri lifanyije jaribio fulani, utungwe mtihani hawa vipanga washindanishwe na wanafunzi waliofaulu kawaida kutoka shule nyingine tuone je watafaulu hivyo hivyo?
There is something fishy about the extraordinary performance. Under normal circumstances there should be normal distribution.
Wakatoliki wamewekeza sana kwenye elimu!! Shule zao ziko fit sana top ten nimeona Maua seminary na hiyo st.fransis na nyingine kama tatu,,,lkn hata wanafunzi waliofanya vzr kwenye shule zingine ambazo si za kikatoliki ni watoto wa kikatoliki pia,,,tukubali tukatae katoliki ni zaidi ya tuijuavyo!!! Tufike wakati tukubaliTitle yako nilitegemea iwe SHULE ZA KIKATOLIKI/SEMINARY ziwe WORKSHOP ya Elimu nchini.
ustake kupambisha mada kisa unatoka mbeya, kwanini isiwe kilimanjaro, mwanza au daressalaam?Kwanza kabisa nitoe maana ya title hapo juu. Kuifanya mbeya kuwa workshop ya elimu ni kama kuufanya mkoa wa mbeya mfano wa kuigwa au sehemu ya kujifunzia kwa mikoa mingine
Kutokana na kiwango cha Elimu kwa huu mkoa wa Mbeya kuwa juu kila mwaka na kuwa constant kwa ufaulu bila kuyumba yumba tofauti na mikoa Kama ya Kilimanjaro, kagera na baba lao Dar es salaam ambayo kwa kipindi hiki huwa ni ina shuka na kupanda kwa maana haiko constant
Ni muda kwa serikali kuufanya mkoa wa mbeya kuwa WOKSHOP kwa mikoa mingine ili kukuza elimu ya Tanzania.
Mwaka huu topteni 10 ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa, wanafunzi 7 wametoka mbeya .......
Cheki orodha hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Kisha toa maoni yako
View attachment 2082237
... wakati shule za serikali humchukua mwanafunzi wa F1 mwaka mzima kujua mwalimu "anaongea nini" (tatizo kubwa mno), za private wengi wanaopenya ni kutoka English mediums hivyo lugha sio issue from day one; inasadia kuongeza ufaulu kwani lugha sio kikwazo kwao.
Ulokole wapi na wapi? Umesikia hiyo shule ni nabii au mtume???Mimi Gussie Mkinga wa Makete huko na Mwana CCM imara nimewanyoshea mikono watu wa Mbeya Katika matokeo ya Kidato Cha nne ya mwaka 2021.
Wanafunzi bora wote wanatoka huko kwenye shule iliyopo hapo mjini ya Wakatoliki ya St Francis.
Nafahamu kwa miaka mingi St Francis imewaabisha wanaume wa Tanzania tangu mwaka 1998 kwa kupiga one kali sana.
Hata hivyo siku ya interview yao mwaka 2010 nilimpeleka mtoto wa ndugu yangu aliyemaliza darasa la saba nilikutana na watahiniwa zaidi ya 40,000 waliomaliza darasa la saba lakini shule ilikuwa inahitaji watoto chini ya 150 tu.
Kwa kuwa mimi Gussie ni expert wa mambo ya shule, Nilimwambia mtoto wa ndugu yangu arembe mwandiko sana na atulie asifanye Mtihani kwa haraka haraka ili apate nafasi ya form one hapo na alifanikiwa.
Aligonga Division one ya Point 7 kama kawaida mwaka 2013.
Kama una mtoto smart wa darasa la saba usiogope mpeleke interview ya zaidi ya watu 200,000 huko Mbeya St Francis Halafu apite darasa la watu 100.
Tuache siasa mtoto kilaza hawezi pita.
Oy watasumbua sanaπππππWanajiita maprofessor[emoji23][emoji23]
Uzoefu wangu, hizi shule huwa haziruhusu mtoto anayepata chini ya B. Mara nyingi hufanya mbinu za kuwahamishia shule nyingine wenye matokeo ya kidato cha pili ya chini, na hapa nina maana wameshinda lakini siyo diision 1 & 2. Pia hizo shule, wakati wa kufunga huwa wale wanaotegemea kufanya mitihani ya for 4, wanabaki shuleni wakipata tuition kali, kitu ambacho shule za serkali hazifanyi.Shule yoyote ikijichagulia wanafunz inayowahtaj inapga one zote