herbert george
Member
- Mar 7, 2013
- 12
- 29
Shukurani sana,Ulisha wahi sikia kuhusu boma la utete? Chemchem ya maji moto? Nk... Mkuranga/kibiti meli ya mjerumani, je muhoro na waarab wake? Nambunju mbwara na habari za majimaji war?
Boss mafia na mafiadha? Mnala wa kuongozea meli na historian kibao ktk kisiwa cha mafia...
Mambo ni mengi kilimani huko ikwiriri rufiji na waarabu wa kilimani etc...
Maafisa utamaduni watawaeleza zaidi pita ktk kila wilaya watakueleza uzuri
Wilaya ya kisarawe nimefika na team yangu tukaembeleaUlisha wahi sikia kuhusu boma la utete? Chemchem ya maji moto? Nk... Mkuranga/kibiti meli ya mjerumani, je muhoro na waarab wake? Nambunju mbwara na habari za majimaji war?
Boss mafia na mafiadha? Mnala wa kuongozea meli na historian kibao ktk kisiwa cha mafia...
Mambo ni mengi kilimani huko ikwiriri rufiji na waarabu wa kilimani etc...
Maafisa utamaduni watawaeleza zaidi pita ktk kila wilaya watakueleza uzuri