Mkoa wa Rukwa ni miongoni mwa Mikoa kongwe hapa nchini, tena ukiwa muhimu sana hasa kwa uzalishaji wa chakula

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Mkoa wa Rukwa ni miongoni mwa Mikoa kongwe hapa nchini, tena ukiwa muhimu sana hasa kwa uzalishaji wa chakula.

Pamoja na hayo, kwa miaka yote hiyo Mkoa huu haukubahatika kuwa na usafiri wa anga wa uhakika, kutoka na kutokuwa na Uwanja wa Ndege unaokidhi vigezo.

Ni Rais wa Awamu ya Sita Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye amefanya mapinduzi ya kiuchumi katika Mkoa huo, kwa kujenga Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga ambao uko katika hatua za mwisho kukamilika.

#Kurasa365ZaMamaVol4.

Your browser is not able to display this video.
 
Mkoa wa Rukwa siyo Kongwe. Ilikuwa Mbeya. Sijui kongwe kwa nini. Hapo mikoa kongwe ni Mbeya, iringa, Ruvuma, Tabora, Dodoma, Morogoro, Singida, Arusha —— malizia
 
Labda ni mkongwe ila hauna umuhimu wowote kwenye msosi.

Mikoa 10 inayozalisha chakula kingi haupo labda mahindi tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…