Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Mkoa wa Rukwa siyo Kongwe. Ilikuwa Mbeya. Sijui kongwe kwa nini. Hapo mikoa kongwe ni Mbeya, iringa, Ruvuma, Tabora, Dodoma, Morogoro, Singida, Arusha —— maliziaMkoa wa Rukwa ni miongoni mwa Mikoa kongwe hapa nchini, tena ukiwa muhimu sana hasa kwa uzalishaji wa chakula.
Pamoja na hayo, kwa miaka yote hiyo Mkoa huu haukubahatika kuwa na usafiri wa anga wa uhakika, kutoka na kutokuwa na Uwanja wa Ndege unaokidhi vigezo.
Ni Rais wa Awamu ya Sita Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye amefanya mapinduzi ya kiuchumi katika Mkoa huo, kwa kujenga Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga ambao uko katika hatua za mwisho kukamilika.
#Kurasa365ZaMamaVol4.
AsanteMkoa wa Rukwa siyo Kongwe. Ilikuwa Mbeya. Sijui kongwe kwa nini. Hapo mikoa kongwe ni Mbeya, iringa, Ruvuma, Tabora, Dodoma, Morogoro, Singida, Arusha —— malizia
Labda ni mkongwe ila hauna umuhimu wowote kwenye msosi.Mkoa wa Rukwa ni miongoni mwa Mikoa kongwe hapa nchini, tena ukiwa muhimu sana hasa kwa uzalishaji wa chakula.
Pamoja na hayo, kwa miaka yote hiyo Mkoa huu haukubahatika kuwa na usafiri wa anga wa uhakika, kutoka na kutokuwa na Uwanja wa Ndege unaokidhi vigezo.
Ni Rais wa Awamu ya Sita Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye amefanya mapinduzi ya kiuchumi katika Mkoa huo, kwa kujenga Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga ambao uko katika hatua za mwisho kukamilika.
#Kurasa365ZaMamaVol4.