Baada ya majina ya wagombea kutolewa jana na kubandikwa hali ya sintofahamu imeendelea kujitokeza km ilivyo kwenye maeneo mengi nchini.
Mkoani Singida kata ya Utemini ambayo inasimamia mitaa mitatu ya Sabasaba, Utemini na Stesheni wagombea waliobandikwa ni wa CCM tu.
1.Mtaa wa Sabasaba hakuna mgombea wa chama kingine zaid ya CCM katoka nafasi zote
2. Mtaa wa Utemini wagombea wote ni wa CCM isipokuwa mgombea mmoja wa ujumbe ndo anatoka upinzani
3. Mtaa wa Stesheni Majina ya wagombea wa CCM yameandikwa kwa kalamu yenye wino mzito ambayo yanaonekana kwa urahisi tofauti na wagombea wa CHADEMA (ambao wote wanagombea ujumbe.)
Vioja vimetokea katika kata ya Kindai ambapo inasemekana wagombea watatu wa nafasi ya ujumbe wa kamati ya mtaa HAWAJAWAHI KUCHUKUA FOMU, KUJAZA WALA KUGOMBEA NAFASI YYT ILE LAKINI WAMESHANGAA KUKUTA MAJINA YAO YAPO UBAONI KAMA WAGOMBEA. Wanataka majina yao yatolewe haraka.
Mzee mmoja akahoji sasa kama hapa mjini hali ni hii huko vijijin si ndo kutakuwa na mambo zaidi.
Mkoani Singida kata ya Utemini ambayo inasimamia mitaa mitatu ya Sabasaba, Utemini na Stesheni wagombea waliobandikwa ni wa CCM tu.
1.Mtaa wa Sabasaba hakuna mgombea wa chama kingine zaid ya CCM katoka nafasi zote
2. Mtaa wa Utemini wagombea wote ni wa CCM isipokuwa mgombea mmoja wa ujumbe ndo anatoka upinzani
3. Mtaa wa Stesheni Majina ya wagombea wa CCM yameandikwa kwa kalamu yenye wino mzito ambayo yanaonekana kwa urahisi tofauti na wagombea wa CHADEMA (ambao wote wanagombea ujumbe.)
Vioja vimetokea katika kata ya Kindai ambapo inasemekana wagombea watatu wa nafasi ya ujumbe wa kamati ya mtaa HAWAJAWAHI KUCHUKUA FOMU, KUJAZA WALA KUGOMBEA NAFASI YYT ILE LAKINI WAMESHANGAA KUKUTA MAJINA YAO YAPO UBAONI KAMA WAGOMBEA. Wanataka majina yao yatolewe haraka.
Mzee mmoja akahoji sasa kama hapa mjini hali ni hii huko vijijin si ndo kutakuwa na mambo zaidi.