Sawa kaka tuawasubirieNgoja tusubuli wataalam waje
Hakuna haja ya kulamba , kojoa pahala halafu baada ya muda ukikuta sisimizi ujue umeisha tayari una kisukari Anza doziHabari ! Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo!
Nimejarib kujifanyia monitoring pale inapotokea nimekunywa chai nikitest mkojo wang kwa kulamba naiskia kabisa sukar...
Duuh ko ukalamba mkojo kuonja sukari.Habari ! Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo!
Nimejarib kujifanyia monitoring pale inapotokea nimekunywa chai nikitest mkojo wang kwa kulamba naiskia kabisa sukari kwenye mkojo au ikitokea nimekunywa soda lazma mkojo wote uwe wa utam tam...
Mzee nenda hospital wakapime Glucose level kweny mkojo na damu, wakikuta ipo juu sana bac itakuwa ni kisukari, specifically high blood sugar level.Habari ! Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo!
Nimejarib kujifanyia monitoring pale inapotokea nimekunywa chai nikitest mkojo wang kwa kulamba naiskia kabisa sukari kwenye mkojo au ikitokea nimekunywa soda lazma mkojo wote uwe wa utam tam....
Duuuu!!Habari ! Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo!
Nimejarib kujifanyia monitoring pale inapotokea nimekunywa chai nikitest mkojo wang kwa kulamba naiskia kabisa sukari kwenye mkojo au ikitokea nimekunywa soda lazma mkojo wote uwe wa utam tam...
Situmii pombe kabisaaaMzee nenda hospital wakapime Glucose level kweny mkojo na damu, wakikuta ipo juu sana bac itakuwa ni kisukari, specifically high blood sugar level.
We ni mtumiaji wa pombe sana?
Unajua maana ya ku taste? AuDuuuu!!
Unalamba mkojo!!
Bac vyema, Nenda hospitali wakapime vitu nilivyokwambia.Situmii pombe kabisaaa