Mkojo kutotoka

Mkojo kutotoka

upeo

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
369
Reaction score
218
Habari wakuu kuna ndugu yangu anatatizo la kutotoka mkojo ipasavyo anapokwenda kukojoa,mkojo wake unakuwa hauna nguvu unapotoka hata akibanwa vipi na mkojo akenda kukojoa haauna speed kabisa unatoka pole pole je ,mnaweza kunambia tatizo lake nini? Nashukuru.
 
Habari wakuu kuna ndugu yangu anatatizo la kutotoka mkojo ipasavyo anapokwenda kukojoa,mkojo wake unakuwa hauna nguvu unapotoka hata akibanwa vipi na mkojo akenda kukojoa haauna speed kabisa unatoka pole pole je ,mnaweza kunambia tatizo lake nini? Nashukuru.

Ana umri gani mkuu??
 
Mambo mawili ni dalili ya
1. Tezi Dume
2. Mawe kwenye kibofu(Calculi)
 
Back
Top Bottom