kwa hiyo mkuu gari lako unaweka kojo badala ya wese?? hahaha nadhani itakuwa imekupasa kuweka tanki la lita kadhaa bar ya jirani ili uweze kuvuna maliasili hii nyeti
kwa hiyo mkuu gari lako unaweka kojo badala ya wese?? hahaha nadhani itakuwa imekupasa kuweka tanki la lita kadhaa bar ya jirani ili uweze kuvuna maliasili hii nyeti