Ni matumaini mpo salama
Kwa muda wa wiki 2 sasa nimekuwa nikikojoa Mkojo wa njano sanaaaa. Nikinywa maji mengi unjano unapungua kwa muda tu then Unarudi.
Jf doctors, tatizo hili linasababishwa na nini?
Ni nini Tiba yake?
Hakuna tiba hapo, mkojo ukiwa njano sana inaashiria una upungufu wa maji mwilini, na ndio maana ukinywa maji unjano unapungua, ukinywa sana maji nayo ni hatari, kunywa kiasi kwa siku, madaktari au wataalam watakuja kutujulisha zaidi..
Hakuna tiba hapo, mkojo ukiwa njano sana inaashiria una upungufu wa maji mwilini, na ndio maana ukinywa maji unjano unapungua, ukinywa sana maji nayo ni hatari, kunywa kiasi kwa siku, madaktari au wataalam watakuja kutujulisha zaidi..