Agnes ni msafirishaji wa mizigo...mwaka jana alisafirisha dawa za pumu kutoka Dar kwenda S.A nadhan ndo imemwingizia hela za kununua huo mkoko...kwa ufafanuzi zaid muulize Mwakyembe
Mimi nilifikiri angeonyesha cheti cha kuhitimu angalau shahada au stashahada yoyote hata ya chuo cha ma------,kesho utasikia gari limechukuliwa na mwenyewe yule kigogo wa ikulu sijui anaitwa Clement