Hapa ndio uwazi unahitajika, kama kondakta au dereva anamsaidia mtu documentation kugongewa entry ya kuingia South Africa mseme mapema ni shilling ngapi?Mkombe Luxury Safari ya kwenda South Africa[emoji1221][emoji1221] Johannesburg kutoka Dar [emoji1241][emoji1241] ni tarehe 06/01 wahi tiketi yako mapema kwa tzsh 400,000/= au Rand 3000/=
Vinavyotakiwa
Passport
Yellow fever certificate
Covid 19 certificate
Barua ya mualiko
NB.Baadhi ya passport zitahitaji uwe na visa
call,sm,whatsapp +255759399805View attachment 2861868
Haha hahahaMualiko gani tena na mnajua kabisa watu hatuna ndugu huko
Rand 3,000. Hiyo alama ya /= inawakilisha shilingi so usiiweke unapoandika currency nyingine zaidi ya shilingi.Mkombe Luxury Safari ya kwenda South Africa[emoji1221][emoji1221] Johannesburg kutoka Dar [emoji1241][emoji1241] ni tarehe 06/01 wahi tiketi yako mapema kwa tzsh 400,000/= au Rand 3000/=
Vinavyotakiwa
Passport
Yellow fever certificate
Covid 19 certificate
Barua ya mualiko
NB.Baadhi ya passport zitahitaji uwe na visa
call,sm,whatsapp +255759399805View attachment 2861868
Umewaza nje ya box mkuu.Mualiko gani tena na mnajua kabisa watu hatuna ndugu huko
Kwanza sijaelewa visa ya nn kwa sis wa bongo?Life kwer lina change 2012 nilienda south kupitia zimbabwe nilitumia laki na 20.zimbabwe to south nilitumia 60 jumla laki 80 mbaka jozi leo laki 4 aaaah nitaenda kwa ndege safar ijayo
Bora nipande ndege 800000 unatembea njian siku mbiliKwanza sijaelewa visa ya nn kwa sis wa bongo?
Mualiko kwan huko Ulaya? uyo nae Mpiga winga 😂Umewaza nje ya box mkuu.
Vyuma chakavuOva wapo serious.
Yah, ila jamaa ajali huwasikii kabisaVyuma chakavu
Ana mwendo mzuri. Na madereva na makondakta nadhan wanafunzwa vizurKarudisha hela mpaka basi, naziona namba A na B
Yah, ila jamaa ajali huwasikii kabisa
Ana mwendo mzuri. Na madereva na makondakta nadhan wanafunzwa vizur