Mchaga hataki kupoteza hela kizembe. Ila I'm sure kawapoza wazee waliomfungiaDereva akipigwa cheti kwa uzembe wa speed au Ku overtake analipa fine mwenyewe.
Ataulizwa tu alikuwa anakimbilia wapi? Hivyo madereva wako makini kulinda salary yao. Kosa dogo tu Ila anakatwa mshahara. Hiyo imewajengea nidhamu sana madereva wake.
Macho yako yanaona zaidi ya microscope, mbona naona no A tu, hiyo B umeionaje onaje?Karudisha hela mpaka basi, naziona namba A na B zakutosha
Rudia tenaMacho yako yanaona zaidi ya microscope, mbona naona no A tu, hiyo B umeionaje onaje?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mchaga hataki kupoteza hela kizembe. Ila I'm sure kawapoza wazee waliomfungia
Sio kazi ya serikali kukuza na kuendeleza biashara za watu binafsi.Inawezekana labda wamefanya hivyo..
Ila ni muda Sasa wa kufanya reforms kwenye hizi mamlaka zetu za UDHIBITI.
Hizo mamlaka zinakuwa ni za udhibiti kweli Kweli, mbona hakuna mamlaka Za kukuza au kuendeleza huduma?! Mamlaka zimekaa kufisha na kuua tu biashara na huduma za watu.
Mindset zimekaa kudhibiti dhibiti tu na kukomoa.. Namna hiyo mazingira ya Rushwa hayawezi kuisha au kukwepeka.
Serikali ina wajibu wa kutengeneza sera rafiki na kuweka mazingira wezeshi ili kukuza biashara na sekta binafsi katika dhana nzima ya kukuza uchumi na kuongeza makusanyo.Sio kazi ya serikali kukuza na kuendeleza biashara za watu binafsi.
OkNasikia ukifikisha safari 30 unakua staff .
Ni kweli kwa Wabongo hakuna Visa. Hiyo si kwa South Africa tu ni pamoja na Malawi, Zambia,Zimbabwe, Botswana, Msumbiji na Swaziland.Kwanza sijaelewa visa ya nn kwa sis wa bongo?