Mkomunist aliefia ubepalini

Mkomunist aliefia ubepalini

GABRAISON5

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2013
Posts
208
Reaction score
44
Leo ni tar 14 ya mwez wa kumi kwa unafiki wa wanasiasa wa ccm wakaamua kuifanya siku ya leo kuwa kumbukizi ya kifo cha baba wa taifa hili yaan nyerere day yapo mengi yamesemwa yapo mengi yameandikwa juu yake lakini kwa ufupi naweza sema ni mkomunist aliefia ubepalini je wewe unamtazamaje mwl nyerere?nawasilisha
 
Back
Top Bottom