Mkongo wa taifa wa mawasiliano , kwa uwekezaji tuliofanya ilibidi GB1 ya data tuuziwe 100/=

Mkongo wa taifa wa mawasiliano , kwa uwekezaji tuliofanya ilibidi GB1 ya data tuuziwe 100/=

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Tanzania imepitiwa na mkongo wa kimataifa wa mawasiliano uliopita chini ya bahari, na kwa ufuatiliaji mdogo nilioufanya juu ya gharama halisi za uendeshaji na utunzaji wa mradi husika (running & Maintanance) , GB 1 ya data ingepaswa tuuziwe kwa shs.100/= , na hapa bado wangepata faida kubwa sana.

Sasa kitu ambacho sielewi ni hewsabu gani ambazo zinatumika kiwachaji waTz shs. 2,000/= kwa GB1 ambayo na karibu mara 20 ya reasonable price?

Mimi nashauri makampuni ya simu yakae chini yaone ni namna gani nasi GB1 ya data tunaweza kuipata kwa angalau 500/=, hii itachochea sana uchumi katika nyanja mbali mbali za mawasialiano na multiplier effect kwenye nyanja zote za uchumi.
 
Wakubwa na wenye dhamana ya kututetea nao wanazo share kwenye hayo makampuni ya simu, isitoshe sehemu hiyo imekuwa ni ya kipato kwa serikali,--- katika hali hiyo unadhani ni nani atakayejitokeza kukutetea?!!
 
Nakumbuka tuliaminishwa kwamba:

Baada ya mkongo wa mawasiliano kukamilika bei za vifurushi (sauti na data) vitashuka.

Baada ya mradi wa gesi ya Mtwara kukamilika bei za gesi na umeme vitashuka.

Kumbe uongo mtupu,ndo kwanza bei zinapanda.
 
Nakumbuka tuliaminishwa kwamba:

Baada ya mkongo wa mawasiliano kukamilika bei za vifurushi (sauti na data) vitashuka.

Baada ya mradi wa gesi ya Mtwara kukamilika bei za gesi na umeme vitashuka.

Kumbe uongo mtupu,ndo kwanza bei zinapanda.
Yaani inaumiza sana, bei za data ni kandamizi, wanafunzi wengi wangependa kujifunza maaarifa mengi toka Youtube, ila wanashindwa!
 
Tanzania imepitiwa na mkongo wa kimataifa wa mawasiliano uliopita chini ya bahari, na kwa ufuatiliaji mdogo nilioufanya juu ya gharama halisi za uendeshaji na utunzaji wa mradi husika (running & Maintanance) , GB 1 ya data ingepaswa tuuziwe kwa shs.100/= , na hapa bado wangepata faida kubwa sana.

Sasa kitu ambacho sielewi ni hewsabu gani ambazo zinatumika kiwachaji waTz shs. 2,000/= kwa GB1 ambayo na karibu mara 20 ya reasonable price?

Mimi nashauri makampuni ya simu yakae chini yaone ni namna gani nasi GB1 ya data tunaweza kuipata kwa angalau 500/=, hii itachochea sana uchumi katika nyanja mbali mbali za mawasialiano na multiplier effect kwenye nyanja zote za uchumi.
Binafsi nilishaacha kuyalaumu makampuni ya simu bali naona ni serikali ndio wa kulaumiwa.

Miaka ya nyuma, watumiaji wa simu walikuwa wachache sana, kwa maana nyingine mitandao ya simu ilikuwa inaingiza fedha chache. Lakini ni katika kipindi hicho, mitandao ya simu ilikuwa inatoza gharama za chini kuanzia kupiga, sms na data. Pia, kipindi hicho kulikuwa na ofa nyingi sana mfano kuongea bure kuanzia saa sita usiku nk. MIAKA HII MAKAMPUNI ya simu yana wateja wengi, maana yake yanaingiza pesa nyingi LAKINI bei ya gharama za simu ziko juu kuanzia data, sms na kupiga. Tulitarajia bei ishuke kwa sababu faida ni nzuri kwa miaka hii tofauti na miaka ya nyuma.

Navyohisi, kilichopelekea gharama kuwa juu ni kutokana na serikali kuona huko kwenye mitandao ya simu ndio kuna uhakika wa kukusanya kodi, hivyo kuyaongezea kodi makampuni ya simu, nayo kuongeza gharama kwa watumiaji.

Siyo kwenye mitandao tu, bali hadi kwenye vifurushi vya ving'amuzi bei ilipaswa iwe chini. Mbona bei ya vifurushi vya ving'amuzi ilikuwa chini wakati vikianzishwa na wateja walikuwa wachache, leo bei ipo juu na wateja ni wengi. Jibu ni kodi za serikali kuongezwa. Ving'amuzi ilipaswa iwe huduma tu lakini leo inaonekana anasa.

Nahisi maisha yangekuwa rahisi ndani ya nchi kama serikali ingejikita katika vyanzo vya mapato ambavyo havimbani mwananchi moja kwa moja mfano, madini, gesi, utalii. Lakini serikali yenyewe kwa sasa inakusanya mapato kutoka kwa Wananchi.

Hivi tujiulize, kwa tabia hii ya Watanzania tuliyonayo ya kujali matumbo yetu, ikitokea waziri ameteuliwa kutumikia wizara inayohusika na mambo haya, ghafla anapokea bahasha kutoka hiyo mitandao ya simu mapema tu, je atawatetea Watanzania kweli?
 
Nashauri access to internet iwe haki ya binadamu. Tuuziwe bei ya chini kadri iwezekanavyo. Bahati mbaya wanasiasa hii ndio biashara yao.

internet ya bure itafungua milango mingi sana ya uchumi. Bongo movies wanawezauza movie zao kwa kustream, wanamuziki, Television, michezo na mambo mengine kedekede.
 
Binafsi nilishaacha kuyalaumu makampuni ya simu bali naona ni serikali ndio wa kulaumiwa.

Miaka ya nyuma, watumiaji wa simu walikuwa wachache sana, kwa maana nyingine mitandao ya simu ilikuwa inaingiza fedha chache. Lakini ni katika kipindi hicho, mitandao ya simu ilikuwa inatoza gharama za chini kuanzia kupiga, sms na data. Pia, kipindi hicho kulikuwa na ofa nyingi sana mfano kuongea bure kuanzia saa sita usiku nk. MIAKA HII MAKAMPUNI ya simu yana wateja wengi, maana yake yanaingiza pesa nyingi LAKINI bei ya gharama za simu ziko juu kuanzia data, sms na kupiga. Tulitarajia bei ishuke kwa sababu faida ni nzuri kwa miaka hii tofauti na miaka ya nyuma.

Navyohisi, kilichopelekea gharama kuwa juu ni kutokana na serikali kuona huko kwenye mitandao ya simu ndio kuna uhakika wa kukusanya kodi, hivyo kuyaongezea kodi makampuni ya simu, nayo kuongeza gharama kwa watumiaji.

Siyo kwenye mitandao tu, bali hadi kwenye vifurushi vya ving'amuzi bei ilipaswa iwe chini. Mbona bei ya vifurushi vya ving'amuzi ilikuwa chini wakati vikianzishwa na wateja walikuwa wachache, leo bei ipo juu na wateja ni wengi. Jibu ni kodi za serikali kuongezwa. Ving'amuzi ilipaswa iwe huduma tu lakini leo inaonekana anasa.

Nahisi maisha yangekuwa rahisi ndani ya nchi kama serikali ingejikita katika vyanzo vya mapato ambavyo havimbani mwananchi moja kwa moja mfano, madini, gesi, utalii. Lakini serikali yenyewe kwa sasa inakusanya mapato kutoka kwa Wananchi.

Hivi tujiulize, kwa tabia hii ya Watanzania tuliyonayo ya kujali matumbo yetu, ikitokea waziri ameteuliwa kutumikia wizara inayohusika na mambo haya, ghafla anapokea bahasha kutoka hiyo mitandao ya simu mapema tu, je atawatetea Watanzania kweli?
Tena mtu mwenyewe kawekwa mlamba asali mwenzao Nape Nnauye. Imagine huyu mtu alishadiriki kusema ujenzi wa Bwawa la Nyerere usimamishwe kwa hatua na gharama ile tuliyofikia, hata kama kweli kuna ishu ya Mazingira, sasa utasema huyo mtu ana akili timamu kweli?!
 
Tanzania imepitiwa na mkongo wa kimataifa wa mawasiliano uliopita chini ya bahari, na kwa ufuatiliaji mdogo nilioufanya juu ya gharama halisi za uendeshaji na utunzaji wa mradi husika (running & Maintanance) , GB 1 ya data ingepaswa tuuziwe kwa shs.100/= , na hapa bado wangepata faida kubwa sana.

Sasa kitu ambacho sielewi ni hewsabu gani ambazo zinatumika kiwachaji waTz shs. 2,000/= kwa GB1 ambayo na karibu mara 20 ya reasonable price?

Mimi nashauri makampuni ya simu yakae chini yaone ni namna gani nasi GB1 ya data tunaweza kuipata kwa angalau 500/=, hii itachochea sana uchumi katika nyanja mbali mbali za mawasialiano na multiplier effect kwenye nyanja zote za uchumi.

Jielimishe zaidi
 
Binafsi nilishaacha kuyalaumu makampuni ya simu bali naona ni serikali ndio wa kulaumiwa.

Miaka ya nyuma, watumiaji wa simu walikuwa wachache sana, kwa maana nyingine mitandao ya simu ilikuwa inaingiza fedha chache. Lakini ni katika kipindi hicho, mitandao ya simu ilikuwa inatoza gharama za chini kuanzia kupiga, sms na data. Pia, kipindi hicho kulikuwa na ofa nyingi sana mfano kuongea bure kuanzia saa sita usiku nk. MIAKA HII MAKAMPUNI ya simu yana wateja wengi, maana yake yanaingiza pesa nyingi LAKINI bei ya gharama za simu ziko juu kuanzia data, sms na kupiga. Tulitarajia bei ishuke kwa sababu faida ni nzuri kwa miaka hii tofauti na miaka ya nyuma.

Navyohisi, kilichopelekea gharama kuwa juu ni kutokana na serikali kuona huko kwenye mitandao ya simu ndio kuna uhakika wa kukusanya kodi, hivyo kuyaongezea kodi makampuni ya simu, nayo kuongeza gharama kwa watumiaji.

Siyo kwenye mitandao tu, bali hadi kwenye vifurushi vya ving'amuzi bei ilipaswa iwe chini. Mbona bei ya vifurushi vya ving'amuzi ilikuwa chini wakati vikianzishwa na wateja walikuwa wachache, leo bei ipo juu na wateja ni wengi. Jibu ni kodi za serikali kuongezwa. Ving'amuzi ilipaswa iwe huduma tu lakini leo inaonekana anasa.

Nahisi maisha yangekuwa rahisi ndani ya nchi kama serikali ingejikita katika vyanzo vya mapato ambavyo havimbani mwananchi moja kwa moja mfano, madini, gesi, utalii. Lakini serikali yenyewe kwa sasa inakusanya mapato kutoka kwa Wananchi.

Hivi tujiulize, kwa tabia hii ya Watanzania tuliyonayo ya kujali matumbo yetu, ikitokea waziri ameteuliwa kutumikia wizara inayohusika na mambo haya, ghafla anapokea bahasha kutoka hiyo mitandao ya simu mapema tu, je atawatetea Watanzania kweli?
Sahihi kabisa, mfano mpango wa Starlink kuleta Internet yenye kasi kwa gharama nafuu Tanzania mimi niliapa kuwa Tz haiwezi kuruhusu, nilikuwa tayari kubeti hata mguu wangu endapo wangeruhusu hii huduma, kwa sababu najua hawataki competition
 
Back
Top Bottom