Mkongo wa Wolper: Namtaka "LULU" kwa gharama yoyote

sio nyie ndo muwe na heshima kwa mnavyowafanyia binadamu wenzenu. au uliona ni vyema yule mzenji mlivyomfanyia kwa kumsingizia kapiga kura.
tafadhali mkuu

Hivi wee hhhhaaqq
 
Tupieni basi picha ya shemeji yetu mkongo
 
Wakongo walivyooo, warumi hebu weka pichaaa

Libaya lipo kama zimwi la kimbiji, wolper kamchamba, kamwambia amkome hana hadhi ya kutoka nae, sasa sijui wolper ana hadhi ya kutoka na nani

Ila na yeye mkongo mbaya, hata mama ubaya humtaki?, masogange je? Hadi irene uwoya? Na mobetto je? Wewe sio bure unamtafutia ubaya lulu wa watu, maana apo akina wolper watakuwa wamenuna hawajachaguliwa mamayo
 
Wakongo walivyooo, warumi hebu weka pichaaa

Libaya lipo kama zimwi la kimbiji, wolper kamchamba, kamwambia amkome hana hadhi ya kutoka nae, sasa sijui wolper nae ana hadhi ya kutoka na nani

Ila na yeye mkongo mbaya, hata mama ubaya humtaki?, masogange je? Hadi irene uwoya? Na mobetto je? Wewe sio bure unamtafutia ubaya lulu wa watu, maana apo akina wolper watakuwa wamenuna hawajachaguliwa mamayo
 

Bina picha basi ana macho dungu niniii
Bwaaahaaabwahaaaaa
 

Ha ha loh inaonyrsha ana sura ngumu ka goti hebu tupia picha yake naona naye anatumia bongo movie kupata umaarufu
 
Bina picha basi ana macho dungu niniii
Bwaaahaaabwahaaaaa

Nilikuwa najaribu ku upload ngoja nione kama itakubali, ni shidaa

ila wolper nae anajishaua wakat huyo mwami kashawala yeye,Irene uwoya na mama ubaya alimla juzi juzi tu kule nairobi, naona mbunye zao mbovu sasa ivi anataka ya lulu,mmh bongo movie kazi wanayo, wanavyochaguliwa na kutumiwa kama mafungu ya nyanya
 

Huyu mkongo si ndo aliye toka na mama ubaya juzi kati kweli bongo movie empty set hyo yote kisa hela za kufanyia maonyesho ya kijinga ig inaonyesha hao wote wana maji huko down ka ya Dawasco
 

binamu mineno hyoooo
 
Huyu mkongo si ndo aliye toka na mama ubaya juzi kati kweli bongo movie empty set hyo yote kisa hela za kufanyia maonyesho ya kijinga ig inaonyesha hao wote wana maji huko down ka ya Dawasco

Nimekupenda bure binamu, ndo huyo huyo mwami aliyemgonga mama ubaya juzi kati kule nairobi, naona akumvutia sasa ivi anamtaka lulu, maana irene nae kaliwa sana mpaka tigo nasikia irene katoa ili tu apewe pesa awarushe roho akina wolper,matokeo yake ndo vile kafulia
 

Hawa ni janga irene kisa hela katoa hadi mtandao pendwa kisa hela mama ubaya na kua na dangote katoka naye na bado katemwa na michirizi dah lulu awe makini na hili zombie la ki congo limepata hela ya madafu na bongo movie kwa kujitaftia visent vya kurusha watu ig mama ubaya naye show off kisa kumuuzia mkongo ma empty set
 

irene jamani mtata kkaaaahhy!!!
yaani hajijali uchi wake ht kidogo
 
Nakerwa na watu wanaowashwa na siasa mda wote,kila habari lazima mchanganye na mambo ya vyama!! Hamna haya.
 
warumi ina maana ule ubuyu wa wema kwenda Nairobi kumfata mwami sio ubuyu ni ukwaju???
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…