Ule ukwaju binamu, maana mchafu balaaa
vipi si hata bi harusi Juliana Shonza mmemfanyia hivyo mpaka mwigulu kalamba kisha memtupiam msukuma wa watu makombo
ha ha ha kumbe mwami anajisafisha tu ili ampate mtoto lulu, haya akomae atamla tuKugongwa kwel aligongwa binamu, unadhan ni uwongo? We unadhan pesa za kumwaga anapata wapi?
Ana moyo,yaani anagongwa ili apate pesa za kumwaga..maajabu hayaishiKugongwa kwel aligongwa binamu, unadhan ni uwongo? We unadhan pesa za kumwaga anapata wapi?
yaani hali mbaya
mtu km lulu nilijua atatulia after the tragedy iliyomtokea
ama kweli tabia ni km ngozi!!
Libaya lipo kama zimwi la kimbiji, wolper kamchamba, kamwambia amkome hana hadhi ya kutoka nae, sasa sijui wolper ana hadhi ya kutoka na nani
Ila na yeye mkongo mbaya, hata mama ubaya humtaki?, masogange je? Hadi irene uwoya? Na mobetto je? Wewe sio bure unamtafutia ubaya lulu wa watu, maana apo akina wolper watakuwa wamenuna hawajachaguliwa mamayo
Nimekupenda bure binamu, ndo huyo huyo mwami aliyemgonga mama ubaya juzi kati kule nairobi, naona akumvutia sasa ivi anamtaka lulu, maana irene nae kaliwa sana mpaka tigo nasikia irene katoa ili tu apewe pesa awarushe roho akina wolper,matokeo yake ndo vile kafulia