Darlis2016
Member
- Nov 3, 2016
- 81
- 26
Habari wana Jamvi,,, naomba kujua mkono kutetemeka na kuna wakati kushindwa hata kushindwa kuandika ni dalili za ugonjwa gani au ni ugonjwa gani? Na tiba yake ni nini?? Naomba msaada wenu wataalam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wana Jamvi,,, naomba kujua mkono kutetemeka na kuna wakati kushindwa hata kushindwa kuandika ni dalili za ugonjwa gani au ni ugonjwa gani? Na tiba yake ni nini?? Naomba msaada wenu wataalam.
Hapana mkuu situmii kilevi cha aina Yoyote ileUnakunywa pombe mkuu
Hii hali imeanza juzi Jumatatu, umri wangu ni miaka 28Hali hiyo ya kutetemeka umekuwa nayo kwa muda gani?
Na umri wako ni miaka mingapi?
Nashukuru Mungu, Sijawahi pata ajali YoyoteUmri wako? Uliwah pata ajali yyte?
Habari ndugu, vipi ulipata suluhisho la tatizo lako? Maana naona km tatizo hili linafanana Kwa karibu na la kwangu. Nami nimepoteza uwezo wa kuandika kabisa. Yani vidole haviwezi kushika Kalam na kutengeneza herufi. Nimekwisha kwenda hospitali km bugando na Benjamin but sijapata nafuuHabari wana Jamvi,,, naomba kujua mkono kutetemeka na kuna wakati kushindwa hata kushindwa kuandika ni dalili za ugonjwa gani au ni ugonjwa gani? Na tiba yake ni nini?? Naomba msaada wenu wataalam.