Brainy Chick
Member
- Mar 9, 2013
- 64
- 21
Habari wadau!
Mwenzenu nina tatizo moja,kila ninapopika! Nifanye nfanyavyo mafuta au chumvi kitazidi.Naombeni ushauri ili nipunguze tatizo hili katika zama hizi za lifestyle diseases.
Mwenzenu nina tatizo moja,kila ninapopika! Nifanye nfanyavyo mafuta au chumvi kitazidi.Naombeni ushauri ili nipunguze tatizo hili katika zama hizi za lifestyle diseases.