co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,541
- 2,487
Habari wanazengo, mimi nina duku duku kidogo kuhusu watu wanopenda kutumia mkono wa kushoto ili hali siyo watu wa mikono ya kushoto.
Kuna mwana mmoja mtaani hapa ninapokaa yeye mara nyingi ukikutanana nae mkisakimiana nae yeye huwa analeta mkono wa kushoto na siyo mara moja au mbili like all the times. Siyo tu katika kusalimiana tu hadi kitu kukupa au kuchukua anchukua kwa mkono wa kushoto.
Mimi assumptions zangu inaweza kuwa mwana ana kaimani kakishirikina haiwezekani utumie mkono wa kushoto.Kuna siku jamaa wengine walimshiktukia(hawa wanaonekana ni wajanja) alivyotaka kuwa salimia nao wakatoa wa kushoto.
Hii ina maana gani? au nijilinde vipi kama ni mambo ya kishirikina?
Kuna mwana mmoja mtaani hapa ninapokaa yeye mara nyingi ukikutanana nae mkisakimiana nae yeye huwa analeta mkono wa kushoto na siyo mara moja au mbili like all the times. Siyo tu katika kusalimiana tu hadi kitu kukupa au kuchukua anchukua kwa mkono wa kushoto.
Mimi assumptions zangu inaweza kuwa mwana ana kaimani kakishirikina haiwezekani utumie mkono wa kushoto.Kuna siku jamaa wengine walimshiktukia(hawa wanaonekana ni wajanja) alivyotaka kuwa salimia nao wakatoa wa kushoto.
Hii ina maana gani? au nijilinde vipi kama ni mambo ya kishirikina?