Mkopo bank kwa kutumia shamba

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Wakuu, nina shamba kama ekari 100 za miti mfundi yenye miaka 10, nataka nitumie shamba hili kupata mkopo bank kwa ajili ya biashara.

Naomba kujua ni bank gani inaweza kukopesha kwa dhamana ya shamba?

Pili ni taratibu zipi zinatumika hadi kupata mkopo kwa kutumia shamba?

Asante
 
Shamba limepimwa pia linahati
 
Mkuu shamba lako umepima na kupata hati?
Ikiwa umepima na kuwa na tittle d utapata pesa nzuri na karibu bank nyingi za kibiashara watakuelewa
 
Mkuu shamba lako umepima na kupata hati?
Ikiwa umepima na kuwa na tittle d utapata pesa nzuri na karibu bank nyingi za kibiashara watakuelewa
asante sana mkuu kwa ushauri
 
Sikushauri hata kidogo kua mvumilivu usubiri kuuza miti
 
nilisikia ukiwa na hati na bima ya moto unapewa mkopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…