ni fresh loan mkuu
hawa jamaa wasumbufu kweli hakuna benk 0 kamahiiCRDB moja ya bank zinazozingua kabisa katika suala la mikopo, mosi wanahitaji attachment kibao mara Barua ya maombi, sijui rubber stamp, uende kwa wakili, na vidude kibao yani kama unatatizo la fasta waweza kufa.M nlichukua form yao ikabdi niishie mitini but nlipoenda NMB within two days mzigo ukasoma na hakuna kuhangaika snaa. CRDB mjirekebishe mikopo yenu tunaihitaj sna ila mna vidude vingi sna vya ajabu ajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
KabisaKama kuna tawi LA BOA , PBZ mtaani kwako ingia apo Mkuu hutajuta utakula mzigo Wa kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wewe wiki ya pili haujachukua, mm nilikutana na afisa mikopo mpenda rushwa alikua nae anataka nimganjie kiasi kidogo cha fedha, alinichelewesha zaidi ya mwezi mmoja, mbaya zaidi wilaya niliyopo hakuna crdb hivyo nilikua nalazimika kusafiri Mara kwa Mara kufuatilia!habar za mapumziko ya wikendi bandgu,,, napenda kujuzwa kwa watumishi wa serikali waliowahi mkopa crdb siku za karbuni inachukua hadi siku ngapi hadi kuwekewa mkopo tokea siku nmemamalza process zote ,, maana kwa upande wangu nmeomba tawi la hapa mwanza lakin wiki ya pili inaisha sijawekewa bado ila wao walisema baada ya wiki tu,, wenye uzoea wanijuze
Siku nyingine achana na Mwanza branch nenda Rocky city branch pale fasta ukikidhi vigezohabar za mapumziko ya wikendi bandgu,,, napenda kujuzwa kwa watumishi wa serikali waliowahi mkopa crdb siku za karbuni inachukua hadi siku ngapi hadi kuwekewa mkopo tokea siku nmemamalza process zote ,, maana kwa upande wangu nmeomba tawi la hapa mwanza lakin wiki ya pili inaisha sijawekewa bado ila wao walisema baada ya wiki tu,, wenye uzoea wanijuze