Siyo rahisi kama unavyodhani, kumbuka kuna miradi inaitwa "white elephant".Vitu vingine ni rahisi tu Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.
Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.
Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.
Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
True wakishindwa ni akili zao mbovu ,mbona magufuli kashika nchi kakuta mikataba ya kifisadi ya madini na mingineyo kapambana na kutuwekea mambo sawa ,kikwete alikopa na kuacha nchi bila ya senti na ajajenga kitu chochote cha maanaVitu vingine ni rahisi tu Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.
Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.
Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.
Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
Si mkopo wa kununua chanjo feki za kovidi za kila ainaUmenena. Ule si mkopo wa kununua condom ni wa miradi
We vyeti feki kajambee mbeleKama huna background ya fani za Finance, Banking, Economics au Business Administration huwezi elewa Magufuli aliharibu kiasi gani!!
Ila kwa kuwa wewe johnthebaptist ni mwanasiasa by profession, endelea kupiga siasa
Mnapotosha. Hoja ya usingi ni UONGO wa Mwendazake. Alikuwa anatudanganya kwamba miradi inatekelezwa kwa fedha za ndani, kumbe alikuwa ni mikopo ya kujifichaficha bila kutuambia sisi waajiri wake!Vitu vingine ni rahisi tu, Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.
Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.
Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.
Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
Mkopo hauwi den
Acha upumbavu, yule marehemu kichaa alikuwa akisema kuwa ni pesa za ndani, yaani kodi kumbe ni mikopo ya kihuni. Tumfukue achapwe bakoraVitu vingine ni rahisi tu, Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.
Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.
Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.
Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
Nini cheti feki? Magufuli yeye alifoji PhD ya maganda ya korosho, na alipoulizwa na Ben Saanane akamuua.We vyeti feki kajambee mbele
Unafahamu kitu kinaitwa payback period? Internal rate of return, present value of money au feasibility study? Je hiyo miradi iliangalia hivyo vigezo?Yaqni kujange reli..na bwawa la umeme..useme ameharibu..je hii ya COVID?
DuNini cheti feki? Magufuli yeye alifoji PhD ya maganda ya korosho, na alipoulizwa na Ben Saanane akamuua.
Mpumbavu kama waliokuzaaVitu vingine ni rahisi tu, Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.
Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.
Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.
Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
Vitu vingine ni rahisi tu, Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.
Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.
Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.
Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
Basi alikuwa genius, kama kafoji na kafanya mambo muhimu namna hiyo acha tumuite MAGUFULI THE GREAT ,Nini cheti feki? Magufuli yeye alifoji PhD ya maganda ya korosho, na alipoulizwa na Ben Saanane akamuua.
Hicho ndiyo wanasiasa wa JF hawajui, wao wanachojali ni kuona SGR imepita tu kutoka Mwanza kwenda Isaka kupitia ChatoWewe jamaa kweli ni mwana CCM maana hauna akili hata kidogo...
Yaani baba yako akope pesa, akajenge mradi wa kipumbavu huko Mbinga; halafu akuambie, mwanangu ukishindwa kulipa deni ni tatizo lako!!
Anayekopa lazima ajue namna ambavyo deni litalipwa hata kama ni baada ya miaka 30; sio unaleta White Elephant projects halafu unasema waliobaki walipe.
Hata mimi nimebaki nashangaa kabisaCCM imeajiri vijana wa HOVYO SANA😡😡
Umedandia treni katikati kama malaya wa kimboka anavyokimbilia mwanaume.Basi alikuwa genius, kama kafoji na kafanya mambo muhimu namna hiyo acha tumuite MAGUFULI THE GREAT ,
Tatizo ninyi maharamia mnatuona sote maf*la (ashakum si matusi). Na hii ndo ilikuwa mentality ya Mwendazake, kuwaona Watanzania wote hamnazo. Mna bahati mnaongea haya mtandaoni kwa kutumia IDs feki lakini ingekuwa mtaani, mngechezea kichapo mpaka muite maji m'ma 😡Vitu vingine ni rahisi tu, Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.
Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.
Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.
Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.