jamani hv kwa waliomaliza form IV ambayo wameapply ordinary diploma ya clinical medicine wanaweza kupata mkopo?
ok... nishapitia olas , nilikua nataka nipatee idea kidgo nisije nikakosea , nikapata mwaka mwingne kua mtaani...mbona bado mapema, we ingia mtandaoni utakuta maelekezo yote on how to apply( olas)