Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo ni milion moja yaani 1,000,000/= kuhusu riba piga namba zilizowekwa hapo juu, wapo watu watakujibu.mimi nimetoa taarifa tu,mkuu.
Hii ni kweli jamaa anatoa .mkopo kweli ila utimize vigezo,mimi nilimpigia nikaonana naye, nimechukua mkopo wa TZS.500,000/=,nitarudisha Tzs.700,000/=. kuna jamaa amechukua TZS.1000,000/= atalipaTZS. 1400,000/=,jamaa anakopesha. hata 2m,3m na kuendelea ila utimize vigezo.
Ndugu mtanzania popote ulipo kama unahitaji mkopo kuanzia 50,000/= mpaka 1000,000/=.piga simu number zifuatazo.0654539416,0685644277,0755866398.uliza...Masunga.
vigezo na masharti.
1.Uwe na biashara inayoonekana
2.kama huitaji kwa ajili ya biashara basi uw na kazi(umeajiliwa)
3.Uwe tayari kutembelewa either nyumbani kwako au kazini kwako au kituo. chako cha biashara kwa uhakiki.
Piga hizo namba kwa swali na maelekezo mengine.
vigezo & masharti kuzingatiwa
Kweli na mimi nimepiga hawapatikaniNyie ni matapeli tuu,,,
nimepiga simu no zote hazipatikani,,
40 % Riba... inarejeshwa kwa muda gani mkuu?! ndio hiyo ya wale wa mwezi mmojamoja...kama ni hivo basi ni nikopo ya dharura na si biashara..Hii ni kweli jamaa anatoa .mkopo kweli ila utimize vigezo,mimi nilimpigia nikaonana naye, nimechukua mkopo wa TZS.500,000/=,nitarudisha Tzs.700,000/=. kuna jamaa amechukua TZS.1000,000/= atalipaTZS. 1400,000/=,jamaa anakopesha. hata 2m,3m na kuendelea ila utimize vigezo.