Kuna mdogo wangu baada ya kukakilisha zoezi la kuomba mkopo na kutuma akagundua kua fomu yake ni yanafunzi wa nnje na yeye ni mwanafunzi wa ndani na bodi wakamwambia muda wa kulekebisha umeisha, Sasa nikaona niiilete apa jf kwa wale wenye kujua waeleze kama atakua na nafasi ya kupata au itakua tatizo!