mkopo kwa post-graduate!

gracious86

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
437
Reaction score
54
hellow wadau! Hivi et mtu akitaka kusoma masterz anaweza kuomba mkopo kwa HELSB? Inanichanganya sana akili! Na kama ni ndio, je, ni qualifications gani hasa wanazoangalia kutoa mkopo kwa postgraduate? Au wanatazama G.P.A ya bachelor?.plz help....
 
nadhani watu wanaopewa mkopo ni wale ambao wanafundisha vyuoni,kama sijakosea
 
Ni kwa wale walioajiriwa serikalini tu!
 
Mi nanavyofahamu ni kwa wale wanaofundisha vyuoni. Yaani ma TA ili wawe malecturer
 
Mkopo ni kwa Watu wa vyuoni. Masters mpaka PHD Wanatoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…