Ndugu wanajamii forum naomba kufahamishwa kuhusu wanafunzi wanajiunga na chuo kikuu huria, je huwa wanafikiriwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo kama vyuo vingine?
Ndugu wanajamii forum naomba kufahamishwa kuhusu wanafunzi wanajiunga na chuo kikuu huria, je huwa wanafikiriwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo kama vyuo vingine?