Habari wanajukwaa?
nina shida na matatizo makubwa sana yananikabili.l ya kifamilia na kijamii.
Nina hitaji mkopo wa mil 23-25 kwa mtu yoyote au kampuni yoyote kwa makato ya kila mwezi kwa muda wa miaka 10 either makato ya moja kwa moja toka kwa mwajiri au kwa bank standing order ya kila mwezi(mkataba utakao husisha makato ya pension kama mkopo hautakuwa na bima),uthibitisho wa mwajiri wangu kuwa ni mwajiriwa wake,
Kwa yoyote atakayeweza nisaidia hata kwa ushauri na namna ya kulitatuta hili naomba asisite kunitafuta 0625758221.
nina shida na matatizo makubwa sana yananikabili.l ya kifamilia na kijamii.
Nina hitaji mkopo wa mil 23-25 kwa mtu yoyote au kampuni yoyote kwa makato ya kila mwezi kwa muda wa miaka 10 either makato ya moja kwa moja toka kwa mwajiri au kwa bank standing order ya kila mwezi(mkataba utakao husisha makato ya pension kama mkopo hautakuwa na bima),uthibitisho wa mwajiri wangu kuwa ni mwajiriwa wake,
Kwa yoyote atakayeweza nisaidia hata kwa ushauri na namna ya kulitatuta hili naomba asisite kunitafuta 0625758221.