mkuu mwenyewe
Member
- Nov 23, 2013
- 22
- 1
Habari wadau wa maendeleo.
Kuna biashara nataka kuanzisha nipo kwenye mchakato. Lakini nimekwama kiasi cha fedha. Lengo la kuandika thread hii ni Nahitaji mkopo wa 1.5 mill tu. Ntarudisha baada ya miezi miwili kwa mkupuo. Mwenye msaada katika hili kunikopesha hapa wadau au kupata contact za wakopeshaji Dhamana nilizonazo ni assets za ndani na za kwenye biashara nayotarajia kuanzisha.
Asanteni sana.
Kuna biashara nataka kuanzisha nipo kwenye mchakato. Lakini nimekwama kiasi cha fedha. Lengo la kuandika thread hii ni Nahitaji mkopo wa 1.5 mill tu. Ntarudisha baada ya miezi miwili kwa mkupuo. Mwenye msaada katika hili kunikopesha hapa wadau au kupata contact za wakopeshaji Dhamana nilizonazo ni assets za ndani na za kwenye biashara nayotarajia kuanzisha.
Asanteni sana.