hahahaha.... Mzee DC naona niondoke hapa tutaharibu thread. WARNING:- In this world of today usimkaribishe karibu Mwanamke, let alone mwanadamu yeyote kwa kumuamini moja kwa moja akijua umetoka kupata mabillion. We could be so evil we species... Pamoja Saana DC. Best of Lack.
Haya ni kama yale maandishi yanayoandikwa kwenye paketi ya sigara baada ya kupigwa ma Adverts ya nguvu??
Ila pia kuna uzuri kwa kuongozana nao kwani hawa viumbe dhaifu hawakawii kusaini blank cheque!!
Babu DC
Hapa si unataka "Unfortunately i have decided not to pursue your application...."Best of Lack.
Hapa si unataka "Unfortunately i have decided not to pursue your application...."
Karibu sana mkuu,
Wewe umezoea kwenda wapi....FINCA au PRIDE!!!
Hivi kwa sisi wakina yahe unaweza kupata mkopo mkubwa bila collateral au kuwa na historia nzuri na benki unayoomba mkopo?Naomba mtu mwenye kufahamu anijulishe mahali ambapo naweza kupata mkopo wa biashara ambao una interest rate ambayo iko reasonable na masharti ambayo si ya kukatisha tamaa!
Note: Naomba taarifa za mkopo mkubwa ......100m to 1b!!
Dark City!
Hawa wanasemaje kwa hiyo 30m kama hauna security?mimi nipo kama ni biashara hadi m 30 nenda acb au nmb
hayo mabilioni hayo usiende huko
Hivi kwa sisi wakina yahe unaweza kupata mkopo mkubwa bila collateral au kuwa na historia nzuri na benki unayoomba mkopo?
Mhhhhhhhhhhh
Hapa nadhani babu atafuta ushauri wa ADii word by word....
Ila kwa wale wajukuu wateule kama wewe...msiwe na shaka!!
Babu DC
Ila uwaeleze kuwa babu anataka kufanya biashara na siyo usanii....Hakutakuwa na % yoyote ya kutoa kwa mtu yeyote hata kama ni 0.00000!!!
hahahahaha! Nitawaambia kabisa babu yangu hapendi mzaha.
Seriously,
Bangi zake zikipanda anacharaza bakora kama kichaa!!
Anyway....Sipendi ubabaishaji wa hawa wasinii wa bongo...Kama hawatoi mikopo basi waache!!
Siyo mtu anachukua mkopo wa 200mil wenye riba ya 25% na jamaa wanataka 10%....Sasa huyo mtu atawezaje kuulipa huo mkopo??
Babu DC!!
Naomba mtu mwenye kufahamu anijulishe mahali ambapo naweza kupata mkopo wa biashara ambao una interest rate ambayo iko reasonable na masharti ambayo si ya kukatisha tamaa!
Note: Naomba taarifa za mkopo mkubwa ......100m to 1b!!
Dark City!