babu kwani huwa unavuta? Halafu kulikuwa na thread humu jamaa wana ofisi yao wanakopesha. Jaribu kuisearch babu. Unataka mkopo wa benki au hata hizi asasi zingine za fedha?
You reminded me of the following terminolgies
(i) Adverse selection - Potential bad credit risks are the ones who most actively seek out loans (Mishkin & Eakin). How can you think of 100 million loan yet you dont know which banks you can deal with?
(ii) Moral Hazards - If you get that billion, will you invest in the business you applied for or you will go abroad to relax your mind?
(iii) Markets of lemon - seems you dont do business with banks, how will they know whether you are good borrower if we recommend you happened to know banks through JF?
Nenda TIB (Tanzania Investment Bank). Hii ni safi zadi kuliko zote.
Kwa uhakika katika biashara yeyote pesa haichukui naafasi ya kwanza. Kuna mapesa mengi yamelala nchi hii kwa kukosa watu wenye vitu vya kufanya. Yeyote mwenye kitu cha kufanya, {wazo zuri la biashara} atapata tu pesa za kutosha. Usitabute pesa shs 100 milioni au 1billioni bila kuwa na andiko la mradi. Siyo wewe unayejua utataka kukopa shs ngapi. Mchanganuo wa biashara yako ndio utakaokuambia unatakiwa uikopee biashara yako kiasi gani.
Wasiliana nami nikupe mawazo ya biashara, uandikiwe mchanganuo, nikuoneshe wakopeshani, nikupe biashara ikibidi na hata dhamana nitakutafutia kwa masharti nafuu. Usijali kuhusi interest rates, jali aina ya biashara unayotaka kuifanya. Kuna biashara ambazo unaweza mudu interest 48% kwa mwaka kulingana na gharama za uendeshaji.
ujue babu dc ubaya wa benk zetu ni collateral based na sio cash flow based.hawajui kwamba mtu unaweza kuwa na collateral ukachukua mkopo na ukashindwa kulipaMay be niongeze dimension nyingine,
Kama naagiza bidhaa nje..na tayari nina LPO ya customer kuonesha kuwa huo mzigo tayari utauzika kwa customer ambaye tayari yuko tayari kutoa uthibitisho.
Watu gani wanatoa mikopo katika case kama hii??
Babu DC!!
Kwa uhakika katika biashara yeyote pesa haichukui naafasi ya kwanza. Kuna mapesa mengi yamelala nchi hii kwa kukosa watu wenye vitu vya kufanya. Yeyote mwenye kitu cha kufanya, {wazo zuri la biashara} atapata tu pesa za kutosha. Usitabute pesa shs 100 milioni au 1billioni bila kuwa na andiko la mradi. Siyo wewe unayejua utataka kukopa shs ngapi. Mchanganuo wa biashara yako ndio utakaokuambia unatakiwa uikopee biashara yako kiasi gani.
Wasiliana nami nikupe mawazo ya biashara, uandikiwe mchanganuo, nikuoneshe wakopeshani, nikupe biashara ikibidi na hata dhamana nitakutafutia kwa masharti nafuu. Usijali kuhusi interest rates, jali aina ya biashara unayotaka kuifanya. Kuna biashara ambazo unaweza mudu interest 48% kwa mwaka kulingana na gharama za uendeshaji.
ujue babu dc ubaya wa benk zetu ni collateral based na sio cash flow based.hawajui kwamba mtu unaweza kuwa na collateral ukachukua mkopo na ukashindwa kulipa
nadhani hii ni challenge kwa benki zetu wawe wanaangalia cash flow na return yake na sio macolateral yasiyokuwa na maana ndo maana defaulters wanakuwa wengi
Nimeku PM mkuuKwa uhakika katika biashara yeyote pesa haichukui naafasi ya kwanza. Kuna mapesa mengi yamelala nchi hii kwa kukosa watu wenye vitu vya kufanya. Yeyote mwenye kitu cha kufanya, {wazo zuri la biashara} atapata tu pesa za kutosha. Usitabute pesa shs 100 milioni au 1billioni bila kuwa na andiko la mradi. Siyo wewe unayejua utataka kukopa shs ngapi. Mchanganuo wa biashara yako ndio utakaokuambia unatakiwa uikopee biashara yako kiasi gani.
Wasiliana nami nikupe mawazo ya biashara, uandikiwe mchanganuo, nikuoneshe wakopeshani, nikupe biashara ikibidi na hata dhamana nitakutafutia kwa masharti nafuu. Usijali kuhusi interest rates, jali aina ya biashara unayotaka kuifanya. Kuna biashara ambazo unaweza mudu interest 48% kwa mwaka kulingana na gharama za uendeshaji.
Mzee DC, ushauri wangu mkubwa pamoja na yote vilevile utembelee kwenye hizo bank mwenyewe ili uweze kupata information zaidi kabla hujaamua kwenda na bank gani kwa mkopo.
Kwa uhakika katika biashara yeyote pesa haichukui naafasi ya kwanza. Kuna mapesa mengi yamelala nchi hii kwa kukosa watu wenye vitu vya kufanya. Yeyote mwenye kitu cha kufanya, {wazo zuri la biashara} atapata tu pesa za kutosha. Usitabute pesa shs 100 milioni au 1billioni bila kuwa na andiko la mradi. Siyo wewe unayejua utataka kukopa shs ngapi. Mchanganuo wa biashara yako ndio utakaokuambia unatakiwa uikopee biashara yako kiasi gani.
Wasiliana nami nikupe mawazo ya biashara, uandikiwe mchanganuo, nikuoneshe wakopeshani, nikupe biashara ikibidi na hata dhamana nitakutafutia kwa masharti nafuu. Usijali kuhusi interest rates, jali aina ya biashara unayotaka kuifanya. Kuna biashara ambazo unaweza mudu interest 48% kwa mwaka kulingana na gharama za uendeshaji.
May be niongeze dimension nyingine,
Kama naagiza bidhaa nje..na tayari nina LPO ya customer kuonesha kuwa huo mzigo tayari utauzika kwa customer ambaye tayari yuko tayari kutoa uthibitisho.
Watu gani wanatoa mikopo katika case kama hii??
Babu DC!!
Kuna jamaa yangu alikuwa na case kama hiyo, benki nyingi hawakukubali, hatimaye alipata benki moja hapo mnazi mmoja kama unatoka mnara wa saa, kushoto kabla ya mataa m.mmoja.
Yupo jamaa yangu mwingine, amepata CRDB lakini wanampa kwa mafungu say anahitaji mil 900, wanampa m 200 au 300. Kikwazo wanachosema wao, hana historia ya kurudisha mkopo mkubwa. Historia unapata wapi? Ndiyo yale yale, tunataka uzoefu wa kazi miaka 5, unapataje uzoefu, fanya kazi ndogondogo ili ufike pale unapotaka.
Sasa mkuu mbona unapotea tena? au toa contact basi umeanza vizuri sana malizia vizuri basi!!Kwa uhakika katika biashara yeyote pesa haichukui naafasi ya kwanza. Kuna mapesa mengi yamelala nchi hii kwa kukosa watu wenye vitu vya kufanya. Yeyote mwenye kitu cha kufanya, {wazo zuri la biashara} atapata tu pesa za kutosha. Usitabute pesa shs 100 milioni au 1billioni bila kuwa na andiko la mradi. Siyo wewe unayejua utataka kukopa shs ngapi. Mchanganuo wa biashara yako ndio utakaokuambia unatakiwa uikopee biashara yako kiasi gani. Wasiliana nami nikupe mawazo ya biashara, uandikiwe mchanganuo, nikuoneshe wakopeshani, nikupe biashara ikibidi na hata dhamana nitakutafutia kwa masharti nafuu. Usijali kuhusi interest rates, jali aina ya biashara unayotaka kuifanya. Kuna biashara ambazo unaweza mudu interest 48% kwa mwaka kulingana na gharama za uendeshaji.