Mkopo wa elimu kwa open university of tanzania

Mkopo wa elimu kwa open university of tanzania

wa baha ela

Member
Joined
Jan 20, 2013
Posts
37
Reaction score
5
Habari wapendwa!, ni mara ya kwanza kuandika chochote mahali hapa. Kikubwa naomba kufahamishwa kwa wale wenye uzoefu. Nina Diploma in Electronics and Telecommunicatrions Engineering kwa bahati nzuri nilipata ajira miezi mitatu baada ya kuhitimu. Nilikua nafikiria kujiendeleza kielimu kupitia Open Univ. of Tanzania huku nikiendelea na kazi. Je kuna uwezekano wa kupata mkopo kutoka board nikiomba kusomea ICT? Nilimaliza Diploma 2011. Changamoto yangu ni kwamba siwezi kuacha kazi sababu ajira ni ngumu af kujisomesha nayo ni ngumu kiasi sababu mshahara hautoshelezi. Nitafurahi kusikia chochote kutoka kwako. Asante Sana.
 
Habari wapendwa!, ni mara ya kwanza kuandika chochote mahali hapa. Kikubwa naomba kufahamishwa kwa wale wenye uzoefu. Nina Diploma in Electronics and Telecommunicatrions Engineering kwa bahati nzuri nilipata ajira miezi mitatu baada ya kuhitimu. Nilikua nafikiria kujiendeleza kielimu kupitia Open Univ. of Tanzania huku nikiendelea na kazi. Je kuna uwezekano wa kupata mkopo kutoka board nikiomba kusomea ICT? Nilimaliza Diploma 2011. Changamoto yangu ni kwamba siwezi kuacha kazi sababu ajira ni ngumu af kujisomesha nayo ni ngumu kiasi sababu mshahara hautoshelezi. Nitafurahi kusikia chochote kutoka kwako. Asante Sana.

hongera kwa kutaka kujiendeleza
kwa kozi unayotaka kwa pale open university mkopo utapata
nina baadhi ya watu nawafahamu wanasoma hiyo kozi yako na wanapata mkopo kutoka bodi ya mikopo HESLB
kila la heri katika safari yako ya kujiendeleza kielimu Mungu akutangulie maana kusoma na kufanya kazi ni kazi
 
utapata ila kiduchu sana ada+vitabu tu, accomodation kwenu, meals kwenu, sawa dogo?
 
Ni kweli, ni kazi kiasi kusoma na kufanya kazi, Ila bado nipo kijana ninaimani nitaweza tu.
 
Mkopo utapata, ila kaza buti kwelikweli kwa sababu kusoma huku unafanya kazi si mchezo. Isitoshe, Bachelor ya ICT inataka concentration ya kutosha.
 
utapata ila kiduchu sana ada+vitabu tu, accomodation kwenu, meals kwenu, sawa dogo?

kwakuwa anafnya kazi ataendelea kujigharamia kama kawaida na bodi inapotoa mkopo kwa wanafunzi wa open hutoa kwaajili ya tuition fee na vitabu pekee maana pale ni distance learning kwahiyo malazi na msosi utajitegemea pale sio kama convetional university
 
Back
Top Bottom