A ams Member Joined Mar 16, 2013 Posts 78 Reaction score 115 Jan 16, 2019 #1 Natafuta Mkopo wa milioni mbili na nusu ya kilimo cha Maua ardhi ninayo ila nimepelea hicho kiasi. mkopeshaji anakua partner ata pata 30%
Natafuta Mkopo wa milioni mbili na nusu ya kilimo cha Maua ardhi ninayo ila nimepelea hicho kiasi. mkopeshaji anakua partner ata pata 30%
Baba jayaron JF-Expert Member Joined Jun 29, 2015 Posts 4,324 Reaction score 5,933 Jan 16, 2019 #2 jamii forum na ishu za maendeleo sahau mkuu. jaribu kwenda kwenye mabank kama crdb na zingine wanao hio mikopo lakini kwa wale wenye ozoefu wa biashara za kilimo zaidi ya mwaka au miaka miwili.
jamii forum na ishu za maendeleo sahau mkuu. jaribu kwenda kwenye mabank kama crdb na zingine wanao hio mikopo lakini kwa wale wenye ozoefu wa biashara za kilimo zaidi ya mwaka au miaka miwili.