Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wana jf naomba kujua mahali ninaweza kupata mkopo wa kilimo, nina hekari 50 zina hati ya miaka 30 na ziko eneo la wilaya ya kasulu mkoa wa kigoma,je ninaweza kupata mkopo wa kilimo? vikiwamo vifaa?,naomba msaada wenu
wana jf naomba kujua mahali ninaweza kupata mkopo wa kilimo, nina hekari 50 zina hati ya miaka 30 na ziko eneo la wilaya ya kasulu mkoa wa kigoma,je ninaweza kupata mkopo wa kilimo? vikiwamo vifaa?,naomba msaada wenu
nashukuru sana je humu ndani kuna mtu anayeweza kuniandikia mchanganuo huo wa kilimo cha umwagiliaji na hasa mpunga?
Kha! Utamlipa shs ngapi?
mkuu nenda TIB haraka sana!
Nilishawahi Kwenda TIB masharti yao bado ni magumu tu kwa mkulima mdogo niliambiwa shamba lako lazima liwe kuanzia ekari 500 na audited account statements za miezi sita iliyopita
Si nikipata mkopo? Mwe! Ajiandike kwenye mchanganuo.
mkuu hiyo ya ekari mia 5 si kweli mkuu labda ulienda kwa mhuni flani tuu, mie nimewahi enda pia hilo sharti sikuambiwa, ila lazima uwe na shamba!
mkuu hiyo ya ekari mia 5 si kweli mkuu labda ulienda kwa mhuni flani tuu, mie nimewahi enda pia hilo sharti sikuambiwa, ila lazima uwe na shamba!
Probably nilikuwa misled mkuu shamba la ukubwa gani walikuwa wanataka?
Hebu tusaidie mkuu, masharti yakoje?