UsijaribuWadau habari za mchana,
Naomba kuuliza,
Kuna akaunti ipo kwenye ukurasa wa Facebook unahusina na mikopo hii ni kweli au matapeli tu wa Tz.
Msaada wa maelezo kwa yoyote anayefahamu ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna moja Kama hiyo ilikuwa na picha ya mdee baadae ikabailishwa ikawekwa ya mama Salma K,Wadau habari za mchana,
Naomba kuuliza,
Kuna akaunti ipo kwenye ukurasa wa Facebook unahusina na mikopo hii ni kweli au matapeli tu wa Tz.
Msaada wa maelezo kwa yoyote anayefahamu ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ni matapeli, huwa wanatumia majina ya watu maarufu kutapeli watu.Wadau habari za mchana,
Naomba kuuliza,
Kuna akaunti ipo kwenye ukurasa wa Facebook unahusina na mikopo hii ni kweli au matapeli tu wa Tz.
Msaada wa maelezo kwa yoyote anayefahamu ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app