mkuu ni vizuri tukapeana tarifaa za ukweli, bei ya trecta dogo bila jembe ilikuwa 19,600,000/= hp 60 unalipa kama milioni 6 unapewa trecta kwa mwaka inatakiwa ulipe installment 4 muda wa mkopo miaka 3 hadi 4, hp 70 ni milioni 29 unalipa kama millioni 9 VIAMBATANISHO hati ya nyumba kwa wenye nyumba , wasio na nyumba barua ya utambulisho kutoka serikali ya kijiji kuonyesha unashamba pamoja na kupitishiya maombi yako ofisi ya kilimo wilayani. KWA SASA MATRECTA YAMEKWISHA WANASEMA WALETA TENA MAY AU JUNE 2013