Richard Robert
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 632
- 340
Leo Watanzania mnasherekea mkopo wa IMF na kufurahia maekekezo tu kuwa tunakwenda kumaliza tatizo la vyumba vya madarasa na wasimamizi ni wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya chini na watendaji. Lakini tujue maeneo mengi ya nchi yamejaa upigaji. Na wapigaji ni wasimamizi wenyewe.
Shida ipo hapo Halmashauri ya Chalinze kata Bwilingu, kitongoji cha Bwilingu shule ya msingi kibiki walipata mfadhili anawajengea vyumba viwili vya madarasa na ofisi ambazo inategemewa na wananchi.
Timu ya wasimamizi wa mradi imeamua kumlipa kada wa CCM pesa ya kifusi 80000 kwa Kila gari na wakati wanatambua Bei ya soko ni 50000 na waliambiwa wakaziba masikio. Pia tuna taarifa kuwa hata hela ya mradi imeshapigwa tayari.
Sasa je katika mazingira haya Si ni kiini macho tu wasimamizi ndio wapigaji? Je, miradi ya IMF SI ITAHUJUMIWA KILA KONA?
Shida ipo hapo Halmashauri ya Chalinze kata Bwilingu, kitongoji cha Bwilingu shule ya msingi kibiki walipata mfadhili anawajengea vyumba viwili vya madarasa na ofisi ambazo inategemewa na wananchi.
Timu ya wasimamizi wa mradi imeamua kumlipa kada wa CCM pesa ya kifusi 80000 kwa Kila gari na wakati wanatambua Bei ya soko ni 50000 na waliambiwa wakaziba masikio. Pia tuna taarifa kuwa hata hela ya mradi imeshapigwa tayari.
Sasa je katika mazingira haya Si ni kiini macho tu wasimamizi ndio wapigaji? Je, miradi ya IMF SI ITAHUJUMIWA KILA KONA?