Mkopo wa Nyumba toka Bank

Mkopo wa Nyumba toka Bank

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Jamani nataka kujenga kwa Mkopo toka Bank...hiii kujenga kwa pesa za kuunga unga naona sitaweza na mambo yanabadilika, naombeni ushauri wenu ni wapi naweza pata mkopo wa Nyumba kwa at least masharti nafuu kidogo? Nataka kwangu mie jamani.......

Updates:

Nimepata mawazo mazuri sana toka kwenu wote na hapa nimeamua kuiweka hii aliyonitumia Mpwa wangu na mtani wangu katika siasa ZeMarcopolo ili na wengine ambao watafungua uzi huu iwe rahisi kwao kuusoma na wakasiadike.Pamoja na tofauti zetu katika mitizamo yetu ya kimaisha ya kila siku bado sisi ni ndugu, someni mpate faida Mbarikiwe sana sana
Mkuu,

Nimeipata hii hapa. Iwapo wewe ni mwajiriwa wa serikali, hii inakufaa zaidi.

Housing Revolving Loan Funds | Ministry of Lands and Human Settlements Development
 
Last edited by a moderator:
hamtaki niwe na kwangu?? Jamani nisaidieni mawazo hii biashara ya kufungasha bulungutu la pesa una mpa mwenzio mie imenishinda jamani
 
90% ya wTz siku hizi wanakopa. Fungukeni basi, raia mwema anaomba msaada
 
Kama mfanya biashara save na vikoba,ni famous sana,ni njia ya kusave
 
Jamani nataka kujenga kwa Mkopo toka Bank...hiii kujenga kwa pesa za kuunga unga naona sitaweza na mambo yanabadilika, naombeni ushauri wenu ni wapi naweza pata mkopo wa Nyumba kwa at least masharti nafuu kidogo? Nataka kwangu mie jamani.......
wewe ni mfanyakazi serikalini au sekta binafsi? unataka mkopo kiasi gani? Jibu maswali hayo rahisi nikushikishe mkwanja fasta
 
hamtaki niwe na kwangu?? Jamani nisaidieni mawazo hii biashara ya kufungasha bulungutu la pesa una mpa mwenzio mie imenishinda jamani
Mie najua bank inayotoa mkopo lakini sikwambii maana we ni 'masikini jeuri'yani msaada unafanya iwe lazima kha!
 
Wakuu na mimi naomba msaada, nikipata bank yenye mashart nafuu honest nitakopa. Wataalamu wa bank msaada plz
 
katika swala la mkopo katika taasisi za kibenki huwa wanaliba kubwa sana na hili ndilo tatizo na hata ukitaka kukopa hautopewa pesa ya ndoto yako hapa unapata mkopo kulingana na mzunguko wako wa pesa kama ni mfanyakazi basi utapata kulingana na mshahara wako na ukiwa mfanyabiashara pia utapa pesa kulinga na zamana yako sasa basi kwa mkopo wa nyumba kuna benki kama CRDB,NBC,NMB na nyingine nyingi na kwa gharama za nyumba kwa sasa ni gharama kubwa sana kama utakuwa na vigezo vya kupata huo mkopo nakushauri wahi nenda kwenye hizo bank ukapate maelezo ya kutosha.
 
Mie najua bank inayotoa mkopo lakini sikwambii maana we ni 'masikini jeuri'yani msaada unafanya iwe lazima kha!

nimecheka hadi basi.......yaishe Mpwa niko chini ya miguu yako tena naomba kama unamfahamu na Meneja ili tumalize kabisa mchezo...tafadhali Mpwa wangu usinifanyie hivyo jamani mie ndugu yako ujue..
 
Duh nimefurahi sana kwa ushauri wako wa kishujaa, ntafanya hivyo Mpwa
Kwa hakika MUNGU akubariki
katika swala la mkopo katika taasisi za kibenki huwa wanaliba kubwa sana na hili ndilo tatizo na hata ukitaka kukopa hautopewa pesa ya ndoto yako hapa unapata mkopo kulingana na mzunguko wako wa pesa kama ni mfanyakazi basi utapata kulingana na mshahara wako na ukiwa mfanyabiashara pia utapa pesa kulinga na zamana yako sasa basi kwa mkopo wa nyumba kuna benki kama CRDB,NBC,NMB na nyingine nyingi na kwa gharama za nyumba kwa sasa ni gharama kubwa sana kama utakuwa na vigezo vya kupata huo mkopo nakushauri wahi nenda kwenye hizo bank ukapate maelezo ya kutosha.
 
nimecheka hadi basi.......yaishe Mpwa niko chini ya miguu yako tena naomba kama unamfahamu na Meneja ili tumalize kabisa mchezo...tafadhali Mpwa wangu usinifanyie hivyo jamani mie ndugu yako ujue..
Nawahurumia hao majirani zako kwa ubabe wako.Na sijui kama mwenye nyumba wako atathubutu kukupiga notes aise.Sasa hujapata mkopo lakini unakua mtata,ukipata jee,si hao watu wa bank watajuta??we mkurya nini?
 
wewe ni mfanyakazi serikalini au sekta binafsi? unataka mkopo kiasi gani? Jibu maswali hayo rahisi nikushikishe mkwanja fasta
Nipo kwenye NGO na mikataba yetu ni ya mwaka mmoja mmoja renewable, ningependa nipate mkopo wa kujenga nyumba ambayo ni imara na kwamba bniko tayari kwa gharama yoyote ile as much as ninapata nyumba yangu na mahali ninapopataka mie
 
Nawahurumia hao majirani zako kwa ubabe wako.Na sijui kama mwenye nyumba wako atathubutu kukupiga notes aise.Sasa hujapata mkopo lakini unakua mtata,ukipata jee,si hao watu wa bank watajuta??we mkurya nini?

Mpwa nimekutaka radhi jamani, yaishe nisaidie japo mawazo bhana, mie kutoa mihela kibao nampa mtu mie nashindwa bhana wakati naweza kujenga ya kwangu au naweza kuwa na nyumba yangu mwenyewe..... haya sema neno faster faster
 
Mkuu,

Kama lengo lako ni kusave pesa basi achana na mkopo. Mkopo haumlengi mtu mwenye pesa chache.

Lengo la mkopo ni kwa wale wenye haraka, wasiotaka kusubiri, lakini sio wanaotaka kusave pesa.

Unapochukua mkopo unakuwa unanunua vitu viwili. Kwanza nyumba na pili mkopo wenyewe.

Why should you buy two things at once kama unasema huna pesa za kuunga unga?

Wakati unafiukiria hilo, kuna taarifa nakutafutia nitakuweka hapa nikiipata tu.
 
Ni kweli kabisa nilikuja kustuka kuwa Watu wengi wanakopa na ndio wana maisha yenye ahueni ahueni kiasi, nimepiga sana mahesabu nikaona ni bora nilipe bank kuliko kumpa mtu huku mwisho wa siku unatoka kwenye nyumba yake. Si afadhali niwe na nyumba yangu halafu hio ambayo ningeilipa kama kodi niilipe Bank ili mwishoni niwe na nyumba yangu kwa maana ya kutokuwa na deni??? Au mnasemaje Wapwa zangu??
90% ya wTz siku hizi wanakopa. Fungukeni basi, raia mwema anaomba msaada
 
Asante Mpwa, nipe hayo mawazo nitashukuru pia

Tatizo ni kwamba nahitaji kuwa na nyumba yangu kwa njnia hali ya jasho langu, mikopo ni wizi mkubwa sana but I think ndio dunia inakotupeleka, na at the end tutajikuta wote tuko huko. Marehemu Baba yangui alishaniambia nisikope tena mkpo wa nyumba but seems there is no way Mpwa
Mkuu,

Kama lengo lako ni kusave pesa basi achana na mkopo. Mkopo haumlengi mtu mwenye pesa chache.

Lengo la mkopo ni kwa wale wenye haraka, wasiotaka kusubiri, lakini sio wanaotaka kusave pesa.

Unapochukua mkopo unakuwa unanunua vitu viwili. Kwanza nyumba na pili mkopo wenyewe.

Why should you buy two things at once kama unasema huna pesa za kuunga unga?

Wakati unafiukiria hilo, kuna taarifa nakutafutia nitakuweka hapa nikiipata tu.
 
Duh nimefurahi sana kwa ushauri wako wa kishujaa, ntafanya hivyo Mpwa
Kwa hakika MUNGU akubariki

Usijali karibu sana maana hapa ni sehemu mahususi kwa kushauriana kwa kila jambo hivyo ni wakati mzuri wa kujua kila jambo kwa undani na kwa umakini zaidi nakutakia kila la kheri mambo yako yakunyokee unalopanga na liwe!
 
Back
Top Bottom