Mkopo wa nyumba

Mkopo wa nyumba

roundabout

Member
Joined
Jun 14, 2015
Posts
17
Reaction score
2
Nimesikia tangazo la mkopo wa jijenge wa nyumba. Wanasema unaweza kukopa hadi 500m na unaweza kurejesha mkopo mpa miaka 20. Kama kuna mtu mwenye uelewa naomba anisaidie.
 
Umesikia wapi hilo tangazo? Ni radio gani? Au ni mtangazaji alikuwa anapita na kipaza sauti?
 
Hizo taarifa ni za kweli. Cha Msingi nenda kwenye Bank yako ya CRDB hapo utapewa Maelezo ya kutosha. Ila cha Muhimu kutokana na Maelezo yao unatakiwa uwe na Chanzo maalumu cha Marejesho kama vile kazi ya Kuajiriwa au Biashara yenye Lesseni na Kutambulika vyema.

Wahi tawi lolote la CRDB utapew Maelekezo Sahihi.
 
Aisee kwa hapo inamaana utalipa 25M Kwa mwaka, da kaz kwel
 
Utalipa kwa mshahara na hata ukizeeka utalipa kwa mafao yako ya uzeeni

Mleta mada labda anajua, ila ninavyojua mafao huwa hayalipi mkopo, hata hivyo mafao kwa watumishi wa kawaida hayazidi 200M kwa miaka 10 ijayo hivyo bado haitoshi
 
Back
Top Bottom