Farudume12
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 621
- 348
nikutaftie laki 5 boss wanguUna kiasi gan mkononi kwa kuanzia nikupatie Carina GT latest model
Duuuh.nikutaftie laki 5 boss wangu
Aisee 😳nikutaftie laki 5 boss wangu
Sasa unashangaa nini? Kwani tunauziana? sini mkopo, iyo laki 5 nikama akiba.Duuuh.
Hamna chakushangaza hapo boss. Hatu uziani Bali kunaAisee 😳
Nimekuelewa vizuri saana, na iyo Kampuni inapatikana wapi mkuu. Mimi kulipia iyo 40% sijakataa ilimradi nipate gari nilizo taja hapo juu. Hata 50% nipo tayari. Kampuni ganu hiyo. Ebu nielekeze.Kampuni nayoijua unatanguliza 40% ya bei halisi ya gari, inayobaki unailipa ndani na miaka mitatu, hiyo laki 5, iwekeze kwanza izae mkuu
Kampuni gani mkuu?Kampuni nayoijua unatanguliza 40% ya bei halisi ya gari, inayobaki unailipa ndani na miaka mitatu, hiyo laki 5, iwekeze kwanza izae mkuu
kampuni gani mkuu mbona umekimbia tena utugaie maalifaKampuni nayoijua unatanguliza 40% ya bei halisi ya gari, inayobaki unailipa ndani na miaka mitatu, hiyo laki 5, iwekeze kwanza izae mkuu
Ni kampuni gani hiyo mkuu nataka kuwasiliana naoKampuni nayoijua unatanguliza 40% ya bei halisi ya gari, inayobaki unailipa ndani na miaka mitatu, hiyo laki 5, iwekeze kwanza izae mkuu
Kama Unataka kuisaidia hii kampuni iive kibiashara ni vema ukaitaja Hapa hapa na Sio Pm!Kampuni nayoijua unatanguliza 40% ya bei halisi ya gari, inayobaki unailipa ndani na miaka mitatu, hiyo laki 5, iwekeze kwanza izae mkuu
Halafu shida inakuja akishatoa contact baadae usumbufu ukitokea lawama kwake! unajuta hata Kwa nini ulichangia mada.Hapo ndo utajua kwamba jf wengi hawana magari,kila mtu anaulizia jina la kampuni...