Mkopo wagari unahitajika

Farudume12

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2016
Posts
621
Reaction score
348
Habari zenu mabibi na mabwana. naomba kuuliza kwayeyeto anaefaham OFICI ao MTU binafsi wanao jihusisha na kutoa mikopo ya magari. Naitaji Gari aina ya NOAH old model, ao Toyota CARINA Ti. naitaji moja kati yahayo magari, kwaajili ya biashara. Gari Iwe nzima isiwe na tatizo lolote. Mimi ni mjasiriamali Nafuga kuku pia Namiliki Duka la vipodozi. Napatikana Dar es salam Tegeta. karibuni
 
Una kiasi gan mkononi kwa kuanzia nikupatie Carina GT latest model
 
Kampuni nayoijua unatanguliza 40% ya bei halisi ya gari, inayobaki unailipa ndani na miaka mitatu, hiyo laki 5, iwekeze kwanza izae mkuu
 
Kampuni nayoijua unatanguliza 40% ya bei halisi ya gari, inayobaki unailipa ndani na miaka mitatu, hiyo laki 5, iwekeze kwanza izae mkuu
Nimekuelewa vizuri saana, na iyo Kampuni inapatikana wapi mkuu. Mimi kulipia iyo 40% sijakataa ilimradi nipate gari nilizo taja hapo juu. Hata 50% nipo tayari. Kampuni ganu hiyo. Ebu nielekeze.
 
Kampuni nayoijua unatanguliza 40% ya bei halisi ya gari, inayobaki unailipa ndani na miaka mitatu, hiyo laki 5, iwekeze kwanza izae mkuu
kampuni gani mkuu mbona umekimbia tena utugaie maalifa
 
Kampuni nayoijua unatanguliza 40% ya bei halisi ya gari, inayobaki unailipa ndani na miaka mitatu, hiyo laki 5, iwekeze kwanza izae mkuu
Ni kampuni gani hiyo mkuu nataka kuwasiliana nao
 
Kampuni nayoijua unatanguliza 40% ya bei halisi ya gari, inayobaki unailipa ndani na miaka mitatu, hiyo laki 5, iwekeze kwanza izae mkuu
Kama Unataka kuisaidia hii kampuni iive kibiashara ni vema ukaitaja Hapa hapa na Sio Pm!
Kwa Faida ya Wengi!
 
Hapo ndo utajua kwamba jf wengi hawana magari,kila mtu anaulizia jina la kampuni...
 
Hapo ndo utajua kwamba jf wengi hawana magari,kila mtu anaulizia jina la kampuni...
Halafu shida inakuja akishatoa contact baadae usumbufu ukitokea lawama kwake! unajuta hata Kwa nini ulichangia mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…