Mkopo wamkosanisha na mpenzi


Mwana dada yupo sahihi kabisa maana jamaa hajafanya jambo jema na wala si la kistaarabu kabisa na jamaa anawajibu wa kuadhibiwa kabisa
 
Mke wangu umesemaje eti?

uwiiii......... Asprin cheza na mimi upendavyo ila usicheze na pesa wala mali yangu. uwiiiii hapa watahitimisha lile ambalo wengi husema juu ya upalestina. kiruuu eleri hainaga umume wala umke aisee.

ila ndio tatizo la vijana wa siku hizi ambao wao ni opputunistic msemo wa Kongosho. kwanza hadi uwe huru kuja kwangu inamaana lazima nikuamin na hata kama nakuamin funguo za droo zangu za ndani ama safe hutakaa uzione wala ujue password.
 
Last edited by a moderator:
ni story ya kweli , huyo demu ana jina la kilugha, kama Bumi, Gwantwa huwezi kujua kama demu au mwanaume. alitumia jina la demu kama jina lake

Yaani huyo mwanaume ni zaidi ya mwizi! Pia atakuwa hampendi huyo demu wake vinginevyo angemshirikisha. Angekuwa kanifanyia mie ningehakikisha anakunywa mvua za kutosha segerea.
 

duh?kazi kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…