Tatizo wanafanya mambo bila kuangalia hali halisi ya kipato cha watz walio wengi......haswa wale waliopangwa vyuo vya private ndio wanaonewa kweli.....:A S angry:nahisi wanataka tuwe wamachinga waje watupige virungu...!!yangu naanza kusoma mpk namaliza shule zangu ni za kata tuu leo hii kutoa 2m na upuuuzi nifanye kazi mwaka mzima siipati cjui itakuwaje
Hilo nalo neno....Ila cha msingi ni kumuomba mungu tu coz hata huko kuna matatizo yake........
Ujasiriliamali wenyewe watakubana tu kwenye kodi na vitu vingine...
maumivu kwa kila jambo....
duuuh iwepo tu jamni labda tuta bahatika hukonahis kutakuaa na second selection ya mikopo
"The student with Index number 'S0545.0026.2006' did not secure a higher education loan for 2013/14 academic year." ndo wana maana gani? nisaidieni tafadhali.