Mkosa hoja. . . .

Dah, binadamu ndivyo tulivyo. Unajua nimewahi kusoma kitabu fulani kinaongelea tabia mbalimbali za binadamu, it was more or less a psychological book ndo nikawajua watu vizuri
 
kwa sasa hata mie sitaweza
ila kipindi hiyo
wala hujali, utadhani mwili mzima umetengenezwa kwa mkono

kuna waliokuwa wanaongozana kupu
wanajipanga
afu wanaanza kutangaza kwa kupokezana kama komentetaz wa futibal
it was crazy!

Hahahaha. . . .mlikua na mambo nyie.

Mi nimewahi kulala pale Mlimani mara moja nikaoga asubuhi basi full kujishtukia japo wengi walishatoka. Mi siwezi aisee. . . .
 
Dah, binadamu ndivyo tulivyo. Unajua nimewahi kusoma kitabu fulani kinaongelea tabia mbalimbali za binadamu, it was more or less a psychological book ndo nikawajua watu vizuri
Ukawajua wakoje. . . . . ??!
 
kwa sasa hata mie sitaweza
ila kipindi hiyo
wala hujali, utadhani mwili mzima umetengenezwa kwa mkono

kuna waliokuwa wanaongozana kupu
wanajipanga
afu wanaanza kutangaza kwa kupokezana kama komentetaz wa futibal
it was crazy!

Must have been fun though. . . .
 
Faida nyingine ilikuwa ni kujifunza lugha ya Kiingereza kwa sababu watoto wengi wa pale walitokea Olympio ...sasa ukichanganya na wale Wahindi ambao walikuwa hawajui Kiswahili mtoto wa kitaa na wewe unajikuta unalonga nao hivyo hivyo.

Wow, Mwafrika went to Olympio. Memories..
 

hpo kwenye rangi huyu huyu mkosa hoja!
 
Naunga mkono hoja humu wengi wana husda na roho mbaya sana Cc Fake P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…