Mkubwa na wanawe hongereni kwa kuutendea haki muziki wa kibongo

Yeah. Nyimbo zao nyingi ziko kimaadili. Wasije nao wakaanza kuharibu na kuimba mitusi kama Mitego...
 
Nawakuaali pia, ila wasijeingia kwenye bongo fleva. Naona wanaelekea huko kwa kasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…